Important Announcement
PubHTML5 Scheduled Server Maintenance on (GMT) Sunday, June 26th, 2:00 am - 8:00 am.
PubHTML5 site will be inoperative during the times indicated!

Home Explore Gazeti la Faraja Aug - Nov

Gazeti la Faraja Aug - Nov

Published by owfiss, 2020-07-24 04:49:33

Description: Gazeti la Faraja Aug - Nov

Keywords: Mkoani,Pemba,Zanzibar,PBA,ZNZ,FARAJA,FARAJA UK,FARAJA NGO

Search

Read the Text Version

MKOANI TOLEO No 01 AUG-NOV. 2020 YETU KAZI ZETU KATIKA WILAYA YA MKOANI ZINAPAMBA MOTO HATUA BAADA YA HATUA FARAJA MAYATIMA NI MISAHAFU PICHANI: USTADH SALMINIJUKUMU LA JILIYOTAFSIRIWA AMII NZIMA, KWA KISWAHILI KILA INAZIDI ANAYEWEZA KUENEZWA ASAIDIE, MISIKITINI MALIPO YAPO KWA ALLAH JUKUMU LETU NI KUIJENGA MKOANI YETU NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KI- JAMII KWA KADRI YAUWEZO WETU. LIMETAARISHWA NA JAMIYA YA FARAJA

KATIKA TOLEO No 01 01. 08. 2020 TOLEO HILI Hapa utasoma fikra za uongozi katika mtazamo mzima wa jamii ya Faraja 04 WAZO KUU Hapa utapa kujuwa Hapa utapata Hata uatapa historia fupi ya taarifa za Jumuiya ya Faraja mashekhe wetu Utambulisho kwa baadhi wa 07 09 wana jopo la mawakala Mkoani 13

Hapa utapata taa- Hapa utapata Mayatima nji TOLEO No 01 01. 08. 2020 rifa y amiradi iliyo- ukumbusho wa aya peponi kamilika kuthamini Ugawaji wa kwenu 28 misahafu 16 22 30 Hapa utapata Visima Mkono kwa Usafishaji wa maelezo muhimu mkono misikiti ya uyatima 39 15 40 20 Miradi iliyopo njiani Chenji chenji FARAJA NGO kwa mayatima ZANZIBAR 34 38 41

TOLEO No 01 01. 08. 2020 WAZO KUU Ukweli hauwezi kuelezeka kwa urefu wa ukurasa moja, lakini tutajaribu kuueleza katika jarida letu hili ijapo kuwa kwa ufupi tu. Siri ya maisha ni bahari kubwa na pana sana si rahisi mtu kuitambua, sote tunaijuwa kijuu juu tu. Mfano kila ukionacho kwako ni chepesi au hakina maana kwa mwenzako ni mzigo lala salama na labda ndio kitu muhi- mu kuliko chochote katika maisha. Inahitajia hekima na busara kubwa kuweza kuuona ukw- eli. Mfano ukitaka kuupima ukweli wa maisha ya mtu mwengine ni busara sana kuyapima maisha yake kwa mujibu wa kiwango cha mtu yule sio kwa kiwango chako wewe. Kwa wasikilizaji wengi, ukweli unaosimuliwa hata ukiwa ni kwa maneno matamu au maneno yenye kutia hunzuni sana bado hubakisha ni kama hadithi za paukwa paka- wa tu. Bali ukweli unaoweza kuuathiri moyo na kugan- da zaidi akilini na hata moyoni ni ule ukweli unaoonekana kwa macho. Kwa vile wengi ya wanaolisoma gazeti hili wapo nje ya Mkoani, tunaomba kuwaletea ukweli wa maisha ya Mkoani katika siku hizi pamoja na jitihada za Jumuiya ya Faraja kupitia njia ya picha. Inshallah picha tulizoziweka katika toleo hili zitaleta tathmini halisi ya ukweli wa maisha ya jamii ya watu wa Mkoni. Labda picha hizo zitaleta msisimko, hamasa, fikra, mtikisiko wa moyo, masikitiko, kuzidisha imani na kuona haja ya kuungana na harakati zetu hizi katika kuiendeleza jamii ya Mkoani kwa yale tunayoyaweza na kwa kadri ya uwezo binfasi. Tukisema ushirikiane na sisi kuindeleza Mkoani hatuna maana labda tunataka kui- geuza Mkoani kuwa New York, Singapore au Dubai, la hasha, ila tunatamani moyoni kwetu kuona kwamba katika vijiji na vi- tongoji hata Mkoani Mjini watu wanaposali katika siku za mvua hawavujiwi, wanafunzi wanaokwenda katika vyuo vya Quraan Tukufu na wao hawavujiwi katika misimu ya mvua na wanayo misahafu na vijuzuu vya kusomeshewa na kusomea. Tuna- kusudia kwamba mayatima wanapatiwa nguo ijapokuwa sio mpya na wanapata mlo mzuri ijapokuwa mara tatu kwa mwezi.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Baada ya kusema hayo, hatukusudii labla upeleke pesa kwa ungozi wa Faraja, laa hasha, tunamaana ushiri- ki kikamilifu kwa kadri uwezavyo hata ikiwa ni kutowa fikra. Kila mchango una thamani na uzito wake. Na mara nyengine mchango wa kifikra ni bora hata kuliko pesa. Kama vile tulivyozungumzia, kuleta ukweli katika picha, jambo kubwa kabisa tunalokuomba ni ujuwe kwamba ukweli wetu katika jumuiya ya Faraja ni kwamba katika picha utakazo ziona humu, hatukuziweka kwa sababu tunataka sifa kutoka kwa mtu yoyote yule, au labda tunataka kujulikana au kung’ara katika mitizamo akili ya wasomaji, au kuwadhalilisha wanyonge laa hasha, na Allah atuepushe na ujahili huo, ni- ya yetu ni kama waumini wengine wote nikutafuta radhi za Muumba wetu Allah (SW). Lakini sote tunajuwa wazi kwamba uaminifu umekuwa adimu sasa katika wale wanaokusanya katika misaada mbali mbali hata ikiwa ni katika misaada ya kujenga Misikiti au katika kupewa mayatima.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Kwasababu kama hizo imetulazimu kwanza ngazi ya maisha, mtu wa Mkoani ni mtu wa Mkoani. In- kumridhisha Allah (SW) kwa kuwa waaminifu wa afanywa kazi fii sabilillahi na kuzingatia sana akhera mali za watu na kuwaonesha wanaotabaruku na twendako wale wanaogopa kwamba wakijitolea kwa njia za Tunawataarifu wale wote ambao wamejengeka katika Allah waliokusudiwa huwa misaada haiwafiki na dhana ya kwamba Mkoani haiwezekani kufanyika kitu, badala yake masikini na mayatima na misikiti kwamba sasa Mkoani kumeonesha mabadiliko ma- imegeuzwa kuwa ni chambo tu cha wakusanyaji. kubwa ya kifikra na jumuiya ya Faraja ni mfano halisi juu kwamba jumuiya ya Faraja, sio miongoni mwa ya hilo. Jumuiya ya Faraja, imejenga umoja na hao bali ushirikiani na watu wazima na mashekhe wakuu wote Ndugu msomaji wa Makala hii, tunakuomba wa Mkoani. Na wanaosimamia shughuli zetu hususan uelelwe pia Jumuiya ya Faraja, inafanyakazi kati- za ugawaji wa sadaka ni mashekhe ambao ni maimu wa ka njia ambayo inaweza kumrihisha Allah (SW) miskiti huko. Mashekhe hao hujitolea fiisabilillahi katika na kila mtu anayependa maendeleo. Jumuiya hii ugawaji huo kwenye wilaya nzima.Allah awalipe kwa jiti- inapopata fursa ya kufanya kheri, haitizami kabi- hada zao duniani na akhera pamoja na wadhamini wetu la, rangi ya mtu, asili ya mtu au tabaka lake katika na wote wanashiriki kwa njia moja au nyengine. Amiin.

Maoni ya TOLEO No 01 01. 08. 2020 Uongozi Mwenyekiti Assa HISTORIA FUPI Khamis Muadhini Faraja ilizaliwa kama Faraja UK. Faraja ni Jumuiya ya waakazi wa Mji wa Mkoani Pemba na Vitongoji vyake ili- yoanzishwa miaka 15 iliyopita mjini London. Jumuiya jii Ilianzishwa na watu wa mkoani wanaoishi katika Muungano wa Uingereza, Yaani UK. Jumuiya hii ilianzishwa ikiwa na lengo kuu la kuwaungani- sha wakaazi wote wa Mkoani na Vitongoji vyake wanaoishi UK na kufanya kazi kwa karibu sana na waakazi wa Mkoani katika kusaidia na kugharamia miradi midogo ya maende- leo. Hii inajumuisha uchimbaji wa visima, ukarabati wa se- hemu za ibada yaani Misikiti, Madrasa na vifaa vya Afya. Vile vile kusaidia Ma- Mshika Fedha Salum yatima, chakula, nguo, Saleh Mbaruk elimu, matibabu na makaazi. KAZI NA MAJUKUMU YA UONGOZI WA JUMUI- YA . Jumuiya ina Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Mshika Fedha, Msemaji Mkuu, Mshauri Mkuu na wajumbe wengine wasiopungua sita. Kazi kuu ya viongozi wote ni kufanya kazi kwa karibu na wana- jumuiya wote siku hadi siku katika kusikiliza maoni yao, kuhusu mambo yanayojiri nyumbani yaani Mkoani na Vitongoji vyake, kupokea taarifa za miradi mbali ambayo inahitaji ufadhili kisha kuzijadili na kuzitolea maamuzi kwa utekelezaji. Kuwahamasisha wanajumuiya kutoa michango yao ya kila mwezi ili kuijengea uwezo Jumuiya kuweza kutekeleza malengo yake, miradi midogo kama ilivyoelezwa hapo mwanzo.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Katika shura ya uongozi kuna idara tofauti na kuifikisha kwa walengwa na kutekeleza miradi ili- kila moja ina majukumu yake, kuna idara inayo yokusudiwa, kama ilivyoelezwa hapo mwanzo. shughulika na Mayatima, kuna idara inayosh- ughulika na Misikiti na Idara ya Madrasa. Hivi karibuni uongozi wa Faraja ulianzisha nafasi ya Kazi kubwa ya viongoni wa Jumuiya ni Mshauri Mkuu wa Jumuiya, nafasi ambayo imeonye- kuhakikisha Jumuiya inakua na kusambaa se- sha mafanikio makubwa katika kipindi kifupi, kama hemu mabali mbali za Dunia ambazo kuna ilielezwa lengo la Faraja lilikua kutekeleza miradi wakaazi wa Mji wa Mkoani na Vitogoji vyake midogo midogo lakini sasa tunajivunia kuweza kua kama vile USA, SCOTLAND, SWEDEN, na ushawishi wa kushirikiana na Taasisi nyingine kubwa ambazo zitasaidia kutekeleza miradi mikubwa OMAN, UGERUMANI, HOLAND, CANADA, ambayo ipo katika hatua za majadiliano inshallah UAE, DAR ES SALAAM, ZANZIBAR na TANZA- Mwenyezi Mungu aiwafikishe. NIA kwa jumla. Uongozi wa Ujumuiya umejikita zaidi katika Katika eneo hili pia tumeweza kuwa na ushawishi wa uaminifu, katika ukusanyaji na utunzaji wa ama- kupata wafadhili wakubwa, kutuunga mkono katika na za watu katika Account ya Jumuiya iliyopo shughuli zetu, hii imechangiwa na auaminifu wetu katika Benk ya Barclays PLC, UK. Mpaka sasa katika utekelezaji wa shughuli zetu kwa uwazi bila tunamshukuru Allah (SWA) kwa kutuwezesha ukiritimba. kukusanya kiasi kikubwa cha michango na Uongozi wa Faraja uko makini na unawaomba wale wote wenye nia ya kusaidia Mji wa Mkoani na Vi- tongoji vyake kujitokeza na kushirikiana nasi katika masuala mbali mbali. Kwa kumalizia tu, FARAJA na uongozi wake ni Ju- muiya yenye maono na dhamira ya kuinyanyua Mkoani na Vitongoji vyake. Na uongozi umejipanga vizuri, bila kuwasahau wadau wote yaani wanajumui- ya, na wafadhili wote wanao shirikiana nasi. Uongozi wa Faraja unatoa shukurani za dhati kwa Sheikh Mohammed KANJI kwa kushirikiana nasi kati- ka kusukuma Jumuiya hii. Vile vile bila kumsahau Sheikh Mohammed Al Aufi mmoja katika waasisi wa Faraja na kwa kuzidi kwake kuishauri Faraja katika njia za mafanikio. Mwenyezi Mungu atuwafikishe katika malengo yetu na dhamira zetu. Amiin.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Mwalimu wa waalimu na shekhe wa mashekhe wa mkoani Ustadh Salmini

Mashekhe wetu TOLEO No 01 01. 08. 2020 Sheikh Kasim Mashekhe husimamia na kuboresha maa- Huyu anachukuwa dili ya kidini katika jamii na kukuza tabia nafasi chini ya zenye uwajibikaji ambazo zinaheshimu Ustadh Salmini hadhi na mazingatio muhimu ya maisha yote katika jamii husika. Kwa sababu wana Sheikh Omar ufikiaji zaidi kwa familia kuliko watendaji Imamu wa Msikiti wa wengi wa nje ya dini, Mashekhe ni viungo Ijumaa, Mjini na njia muhimu ya mawasiliano, maandalio ya ustawi wa kijamii na uboreshaji wa kimaisha kwa ujumla Ingawaje mashekhe hawashirikishwi katika ngazi za uongozi na maamuzi ya kisiasa Mashekhe katika ngazi ya lakini hata wanasiasa wenyewe wakiwa na familia na jamii ni viongozi shida zao binafsi huelekea kwa mashekhe wasio chaguliwa na wana kwa sababu mbali mbali ikiwemo tuseme nguvu ya kuinua uha- kwenda kutafuta kuombewa dua. masishaji na kushawishi mitazamo, tabia na mazoea au kukemea matendo machafu kwa kutumia majukwaa ya kidini kama vile hutuba za Iju- maa msikitini. Kwahivo mashekhe wanawe- za kuunda maadili ya kijamii kulingana na mafundisho ya msingi wa imani ya dini. Mashekhe wanachukuwa jukumu kubwa la kusomesha dini kwa watoto wa jamii nzima na kutaarisha mazingira ambayo inaweze- sha watoto kukuwa kikamilifu katika uwezo . wao wa ndani nafsini, utu na ubinadamu, katika kujenga jamii bora ya baadae. Mfano mzuri ni huu wa Mkoani, leo mashekhe wote wanaoe- tegemewa ni wanafunzi wa ustadh Salmini. Lakini si hapo tu, wapo sasa mawaziri huko Oman na Zanzibar, maprofesa huko Zanzibar, Oman na sehemu mbali mbali duniani, madokta wakubwa huko Oman, wanashe- ria, mainjinia wakubwa katika taasisi na fani mbali mabli, wana benki wakubwa sana, na wasomi kadhaa wa kadhaa amabo wanashiriki katika kusukuma gurudumu la maisha katika nchi mbali mbali ikiwemo Oman

SHIEKH SULAIMAN marubani wa ndege, meli na wakubwa jeshini na viongozi mbali mbali katika ngazi mbali mbali za kiserikali na wafanya biashara wakubwa wanaofanya shughuli zao Dar es Salam, Muscat, Zanzibar, Msumbiji na kadhalika. Hawa wote walipatiwa mafunzo mema ya maadili ya dini na ya kijamii kupitia kwa ha- wa maskekhe wetu. Athari za mashekhe zinaonekana wazi wazi katika jamii na hilo halitaki darubini. Mashekhe wetu wa Mkoani sasa wana uhusiano wa kina na wa kuaminika na jamii zao na ni viunganisho muhimu sana kwa washiriki ambao hutafuta fum- buzi mbali mbali za shida zilizomo katika taasisi za kidini kama vile vyuo na miskiti. Kuna tume mbali mbali za mashekhe zilizoundwa ili kuhakikisha usawa unafanyika hususan katika kugawa misaada inapofika. Mashekhe hawa hu- wacha shughuli zao zote na kupitia misikiti ambayo imebahatika kuchagukiwa kupokea sadaqa. kwahivyo, wameweza vizuri kushughulikia ukosefu wa usa- wa unaohusiana na mambo ya kijamii katika vipengele vya kidini. Mashekhe wetu, wamewacha tabia ya kuwa kazi yao ni uzunguwaji, kuandika makombe na kuhitimisha hitima na halili, sasa wanashiriki kikamilifu katika ku- watafutia wale wasiojiweza misaada mbali mbali kama vile vilema na mayati- ma. Kwa hilo pametengezwa miundo ya kueleweka inayoweka uhusiano unaound- wa na maadili haya mema. Mifumo yao ya imani sasa inahimiza juhudi za kus- ema kwa niaba ya na kuwasaidia wanyonge waliosahauliwa na walio na dhiki sana.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Mashekhe wetu, wamewacha tabia ya kuwa kazi yao ni uzun- guwaji, kuandika makombe na kuhitimisha hitima na halili, sasa wanashiriki kikamilifu katika kuwatafutia wale wasiojiwe- za misaada mbali mbali kama vile vilema na mayatima. &&Kwa hilo pametengezwa miundo ya kueleweka inayoweka uhusiano unaoundwa na maadili haya mema. Mifumo yao ya imani sasa inahimiza juhudi za kusema kwa niaba ya na ku- wasaidia wanyonge waliosahauliwa na walio na dhiki sana. Mafano mkubwa sana ni kwamba sasa mashekhe wakubwa wapo pamoja na Jumuiya ya Faraja. Na toleo la gazeti hili ni Ushahidi tosha kwamba uhusiano baina ya Jumuiya ya Faraja na mashekhe wa Mkoani ni mkubwa sana. Dalili ya pili ni kwamba jopo la wanaharakati wa Jumuiya ya Faraja hapo Mkoani limejengwa na kundi la mashekhe ambao ni maimamu wa misikiti yao kutoka vitongoji mbali mbali vya wilaya ya Mkoani. Tunaomba kuwatambuwa mashekhe wetu kwa jitihada zao na kwa kukubali kwao mabadiliko makubwa ya kifikra. Leo Jumui- ya ya Faraja inaanza kujijenga kikamilifu katika akili za watu. Kama kawaida kinachokubaliwa na maimamu huwa kinaku- baliwa na maamuma. Tunamuomba Allah (SW) ushirikaino huu na jitihada hizi zizae matunda na mafanikio hapo Mkoani. Amiin yaa Rabbi.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 JOPO LA WAKALA WA FARAJA HAPO MKOANI Ndugu Hussein Matora Kazi za kusimamia misaada ni kazi ngumu sana na zinazotaka Sheikh Omar haki na uaminifu mkubwa. Jumuiya ya Faraja imefanikiwa kupata Sheikh Salum jopo la mawakala wenye kumuogopa Allah (SW). Kwahivyo kazi ya usimamizi wa misaaada zinafanywa kwa haki na kutizamwa yule anayestahiki zaidi. Kazi hizi zinasimamiwa na Ngugu Hussein Matora ambaye ni wa- kala mkuu akiwa na jopo lake la maimamu watano wa misikiti katika kukamilisha jukumu lao ikiwemo usimamizi wa misaada. Pamoja na Hussein Matora jopo Sheikh Kibwana linajengwa na timu ya maimamu wa misikiti wakiongzwa na Sheikh Omar, sheikh Kibwana na Sheikh Hamza hawa wote ni maimamu wa Msikiti wa Ijumaa, Mijini. Sheikh Salum ni imamu wa Msikiti wa Shidi. Pamoja na majukumu ya kiuimamu na usimamamizi wa shughuli zao binafsi, Mashekhe hawa wapo mstari wa mbele kabisa katika kusimamia harataki za faraja ikiwemo misaada na kuhakikisha haki inatendeka kwa wanalengwa kwa misaada hiyo. Jitiahda zao zimeonekana wazi wazi katika ugawaji wa misahafu iliyofasiriwa kwa Kiswahili katika misikiti mbali mbali waliyani Mkoani. Kwa jitihada za jopo hili Jumuiya ya Faraja inapata heshima na kujulikana kwamba ni jumuiya ya inayotafuta kheri na jumuiya inayotenda haki bila kutizama sura za watu. Tumuobeni Allah (SW) jitihada zetu Sheikh Hamza zikubalike zaidi na zifanikiwe zaidi

TOLEO No 01 01. 08. 2020 JJIIUUNNGGEENALEJUOM,UUIYSAISYUA BFAIRRAI JKAE, JSUWHOANA NA WANZEKO POPOTE PALE ULIPO JKUUMWUAIYMAWYAANAFCAHRAAMJAA ,WJUAMFAURIAYJAAY, A WATU WWAATMAFKAORAANJIIKPAOWPEONTGEI UPAKILJIEUWNGAALNIPAO DUNI- ANI, JUMUIYA YAKO YA WATU WA MKOANI JUMUIYA YENYE KUTAFUTA KHERI NA PATA MAWASILANO YETU KWA NAMBA HIZI MWENYEKITI +44 7940 1821 87 KATIBU + 44 7841 5794 29 MSEMAJI MKUU +44 7960 5070 92 EMAIL: [email protected]

TOLEO No 01 01. 08. 2020 MKONO KWA Mpendwa mtu wa Mkoani, mafanikio hayaji kwa MKONO mazungumzo matamu au kwa kutokezea kwa majaaliwa kama vile nyota ya jaha. Mafanikio leo na kuanza kujijenga katika umoja bila mtu yanakuja kwa vitendo maalumu makusudi vina- kujali anapofanyakazi, cheo chake, anapoishi na vyofanywa kuelekea malengo maalumu. Mfano elimu yake. Na kila aliyepo katika nafasi ambayo mtu akitaka kuvuna machungwa ni lazima alime inaweza kuipatia mabadiliko Mkoani basi aitumie michungwa, ama mtu akilima mipapai akatarajia nafasi hiyo vizuri. Kila mtu nakusudia hata waliko kuvuna machungwa haitowezekana. Na mtu aki- katika siasa kama vile wabunge, wawakilishi, lalamika kwamba shida yake ilikuwa machungwa mawaziri, maprofesa, madokta, wafanya biashara sasa kwanini mipapai haikuzaa machungwa. In- na wengineo tuwe mkono mmoja katika kutizama ampasa mtu huyo kujuwa kwamba mipapai si mbinu za kuleta mafanikio Mkoani. stabia yake kuzaa machungwa bali mapapai. Ita- Tukiwa mkono mmoja ipo fursa ya kufikia malengo bidi mtu huyo abadilshe upandaji wake, alime yetu kiurahisi. Kwasbabu kila mmoja kati yetu ana- michungwa ndio avune machungwa. wajuwa watu tofauti wenywe uwezo tofauti. Kati ya watu hao wapo wenye uwezo na wanaoweza kuku- Na sisi watu wa Mkoani tukitaka kuvuna mafani- bali kudhamini baadhi ya miradi yetu midogo kio ni lazima kuanzisha njia ya kupata mafanikio midogo. Changamoto za Mkoani zikiwa zitabebwa hayo. Mafanikio hayo yataleta mabadiliko katika na watu wote wa Mkoani wenye uwezo wa kufikia jamii. Njia ya kwanza kabisa ni kushikana na ku- watu fulani basi mabadiliko yataweza kufika kwa wa mkono mmoja katika kuutizama mji wetu haraka zaidi. pamoja na changamoto zake. Popote pale tulipo duniani tukumbuke kwamba ipo haja ya kuun- Misali island ganishwa na umkoani wetu. Wakati ni huu kusubiri kesho ni kuchelewa. kesho ni kama ndoto ya mbali katika maisha kesho haifiki kwahivyo kukisubiri kesho ni katika njia za kupotea kifikra. Tukichukuwa hatuwa

visima TOLEO No 01 01. 08. 2020 MIRADI ILIYOKAMILIKA HUU NDIO UTARATIBU WA UCHIMBAJI VISIMA KWA KUTUMIA MIUNDO MBINU YA KISASA. BAADA YA KUKAMILIKA KISIMA HICHI UTARATIBU UMEKAMILIKA WA KUPATA MISAADA YA KU- CHIMBIWA VISIMA VYENGINE KATIK A MISIKITI KADHAA NDANI YA WILAYA YETU KWA UWEZO WA ALLAH (SW) .

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Kazi ya uchimbaji kisima katika msikiti wa michanzani ya Mkoani imemalizika kwa salama Alhamdulilah. Uchimbaji huu wa kisima ulidhaminiwa na Faraja kwa kupitia wanachama wake walioko UK. Usimamizi madhubuti ulifanywa na wakala wa Faraja Mkoani Sheikh Hussein Matora. Waliojitolea katika jitihada hii ya kuhakikisha kwamba kisima hichi kinachibwa, sio matajiri bali ni watu wa ka- waida tu. Tukisema watu wa kwaida ni kwamba wanashughulikia familia zao hapa UK na kutizama fa- milia zao huko Mkoani. Kazi ambayo si ndogo bali isiyoepukika. Lazima tukumbuke kwamba hawa waliochangia wamejinyima nafsi zao na wakawanyima kwa kiasi kikubwa watoto wao ilikuhakikisha watu wa mtaa huu wanakidhiwa haja zao ijapokuwa moja hii ya kisima. Kisima hichi kimechimbwa na kuwekewa mashine ya kupandishia maji, mnara na tangi ili kuwawezesha waumini na msikiti huo kuweza kuendeleza shughuli zao za kiibada bila shida. Kisima hichi kinaweza kuwasaidia pia wanaoishi karibu na msikiti huo. Hili linachangia sana katika kukidhi haja za waishio hapo. Tunamshukuru sana Allah (SW) kwa kutuwezesha kukamilisha hili. Kukamilika kwa zoezi la uchimbaji wa kisima hichi ni mwanzo mwema katika harakati kamili ya uchumbaji visima katika misikiti mabli ambali katika wilaya yetu ya Mkoani. Misikiti mingi iliyoko katika miji midogo midogo inakabiliwa na changamoto kubwa katika upatikanaji wa maji. Ndugu yetu mpendwa, Ikiwa unataka kutabaruku katika Sadaqat jaria tafadhali wasiliana na uongozi wa Faraja na utaunganishwa na wachimbaiji wa visima utawalipa wao sisi tutakuonesha msikiti unaostahiki sadaqa hiyo. Ama ikiwa unataka kutukabidhi sisi jukumu hilo basi, kazi hyo itakamilishwa na rekodi itawekwa wazi ili wewe na wengine waonao wajue kwamba tumefana wajibu wetu bil akufanya khiyana ya aina yoyote.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 KISIMA CHA MKANYAGENI NI KATIKA MRADI MMOJA ULIO KAMILIKA

TOLEO No 01 01. 08. 2020 misikiti Mradi wa Msikiti wa mkanyageni umekamilika, ingawaje ukiitizama picha utaona mskiti huo haujatiwa palasta wala rangi, ni kweli lakini jitihada za Faraja zimeufikisha msikiti huo pahala pengine kutoka pale ulipokuwa kabla. Ingawaje msikiti umefika hali hiyo lakini inatupasa kukumbuka kwamba mtu hujikuna aji- patapo. Tunamshukuru sana Allah (SW) kwa kuwajaalia wachangiaji kutowa katika hii sadaqat jaria na pia wasimamizi kufanya jukumu lao bila kujali wakati wao. Na kwa kazi ya msikiti huu hatuna budi kumshukuru wakala wetu huko Mkoani kwa kujitolea kwake kwa hali na mali katika kuhakikisha mradi huu unakamilika. Leo hii waumini wanaofanya ibada zao katika msikiti huu wanapata fursa ya kufanya ibada hizo kwa utulivu zaidi. Tunapenda kurejea kauli hii mara kwa mara kwamba hatusemi haya kama kutafuta sifa za kibinada- mu, laa, tunasema haya ili kukuhamasisha wewe msomaji ili uweze kwanza kujuwa kwamba wenzetu wali- oko kwetu Mkoani wapo katika hali duni sana na wanahitajia misaada. Pili ili uweze kufikiria kutabaruku katika njia hizi za kheri hususan katika kujijengea nafsi yako kwenye milango adhimu ya sadaqat jaria. Tatu ili ujuwe kwamba si kila watu wanaokusanya sadaqa za waumini ni matapeli, kwahivyo tunakuhakikishia kwamba jumuiya hii ya Faraja ipo Madhubuti na watendaji wake ni wenye kutenda haki baina ya mtoaji, wapokeaji na Allah (SW). Kwetu hakuna njia ya mkato. Iki- wa unanataka kuendeleza moja katika haya ya sadaqat jaria tafadhali wasiliana na uongozi wetu ulipo London, maelzo ya mawasiliano ya- mo humu gazetini.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 UYATIMA, MAJONZI YA >>> KUDUMU KWA WATOTO mbadala sirahisi mtoto yatima kupata huruma ileile, haidhuru ikiwa baba yake alikuwa tajiri au masikini. Ndugu msomaji wetu, kwanza kabisa sema Alham- dulilah na umshukuru Allah (SW) sana kwamba Allah (SW) amekujaalia umri na leo upo na watoto wako, au wajukuu zako au wazazi wako. Wengi wameshatangu- lia mbele ya haki na wamewacha watoto, watoto wa- changa, au wajukuu au wazazi wao. Kwa vile kifo sio chaguo la mtu na uyatima vile vile sio chaguo la mtu. Kuzukiwa na uyatima ni janga ambalo linajaza Wengi ya mayatima katika wilaya ya Mkoani wapo kati- huzuni na giza moyoni, mawazoni na katika kila ka shida na dhiki kubwa. Kusema ukweli, watoto hawa siku ya utotoni. Uyatima ni kama ulimwengu walikuwa kwenye maisha magumu ya kimasikini tangu uliovunjika vipande vipande kwa mtoto mfiwa, walipokuwa katika mikono ya baba zao wachilia mbali haidhuru mustawa wa maisha ya nyumbani. sasa wamekuwa ni mayatima. Kama hilo halitoshi, uki- Maswala ya shida na dhiki za watoto yatima ni wa utaanza kutafuta siku ambayo kila mtoto yatima magumu, mara nyingi hayana jawabu kutoka katika kila nyumba za kifakiri anakula milo mitatu kwa katika vichwa vyao, au tuseme jawabu yake siku, itabidi kwanza ufanye mazoezi ya marathoni kwa- kamwe haimfurahishi mtoto yatima papo hapo. sababu utaweza kuimaliza wilaya nzima usiikute hata Baada ya kufiliwa maisha kwa mayatima huwa nyumba moja ya mayatima hao yenye kudiriki kula ma- kama yaliofungwa katika vikwazo vikubwa tofauti ra tatu kwa siku. visivo na kipimo. Wakati kupoteza mzazi katika umri wowote, haswa kama mtoto mchanga au mdogo ni changamoto kubwa. Changamoto hizo huwa ni kubwa na kubwa zaidi kwa wale walioko katika familia za kifakiri. Miaka ya utotoni huwa ni wa- kati mbaya sana kwa yatima hawa. Ukweli ni kwamba katika maisha ya miaka ya karne hii uki- wa yatima hakuna mtu anayekujali wala anayekukuta, na kwasababu hakuna mzazi

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Labda sasa unataka kutuuliza kwanini tunazungumzia dhiki ya mayatima, sababau kubwa ni kwamba kuna kila dalili ilioko wazi na inayoonesha kwamba mayatima katika wilaya ya mkoani wamesahauliwa. Tunaona mis- ikiti inajengwa, au kufanyiwa marekebisho, vyuo vinajengwa au kufanyiwa marekebisho lakini mayatima wapo pale pale walipokuwa jana. Mkoani hakuna ma- jumba ya kulelela mayatima, majumba ambayo yana- patikana katika miji mingi sana duniani. Majumba haya huwa ni chanzo kikubwa cha kusaidiwa familia ambazo haziwezi kumudu kulea mayatima kwahivyo kuwapatia unafuu wa maisha mayatima. Mayatima wa Mkoani wamo katika kisiwa cha dhiki wakiwa wamezungukwa na ufukara bila ya kujuwa njia ya kujikwamua. Kila mtu anajuwa wazi kwamba tangu katika masiku yalopita kutoa inataka zaidi ya moyo, inataka Imani kubwa. Wengi wa walionacho wanajitafutia kila sababu ili wasiweze kutoa angalau kwa ma- yatima. Sababu kubwa ya uzito wa kutowa katika njia ya kheri kama kusimamia mayatima ni ukweli wa mali au pesa. Pesa zikimfikia mtu haziendi pekeyake, aghlabu pesa zinafuatana na ibilisi. Pesa zina vugu vugu la ujoto maalum ujoto huo humuingia mtu mara akiziweka pesa mkononi tu. Bila shaka umewahi kus- ikia au hata kuhisi mwenyewe, ukiwa na pesa mfukoni huoni njaa. Vugu vugu hilo la ujoto wa pesa humpelekea mtu alopata pesa kubadilisha mwendo, kubadilisha marafiki, mtindo wa uzungumzaji, hu- badilisha tabia mfano huwa mkali na mjeuri na mwenye kutowa vitisho kwa wanyonge. Yote haya husaba- bishwa na hilo vugu vugu la ujoto wa pesa. Mayatima wa Mkoani wamo katika kisiwa cha dhiki wakiwa wame- zungukwa na ufukara bila ya kujuwa njia ya kujikwamua. Kila mtu anajuwa wazi kwamba tangu katika masiku yalopita kutoa inataka zaidi ya moyo, inataka Imani kubwa. Wengi wa walionacho wana- jitafutia kila sababu ili wasiweze kutoa angalau kwa mayatima. Sababu kubwa ya uzito wa kutowa katika njia ya kheri kama kusimamia mayatima ni ukweli wa mali au pesa. Pesa zikimfikia mtu haziendi pekeyake, aghlabu pesa zinafuatana na ibilisi. Pesa zina vugu vugu la ujoto maalum ujoto huo humuingia mtu mara akiziweka pesa mkononi tu. Bila shaka umewahi kusikia au hata kuhisi mwenyewe, ukiwa na pesa mfukoni huoni njaa. Vugu vugu hilo la ujo- to wa pesa humpelekea mtu alopata pesa kubadilisha mwendo, ku- badilisha marafiki, mtindo wa uzungumzaji, hubadilisha tabia mfano huwa mkali na mjeuri na mwenye kutowa vitisho kwa wanyonge. Yote haya husababishwa na hilo vugu vugu la ujoto wa pesa.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Vipi utajuwa kwamba mtu hayuko huru katika mai- MDHARAU sha yake? Dalili ya kwanza ni ukimuona mtu anaisuta nafsi yake hadharani, mafano akiwa yupo kwenye kundi la watu ambao katika hisia zake wa- tu hao wanawadharau watu wengine waliotokea KWAO katika eneo fulani na yeye ni mtu wa eneo hilo am- balo labda linadharauliwa, akajifanya ametoka kati- ka lile eneo ambalo labda katika akili zake ndio eneo ambalo linapewa MTUMWA heshima kubwa, hadhi na kuthaminiwa zaidi, hio ni dalili ya kuwa mtu huyo Katika maisha wanaoendelea zaidi ni wale waliko hayuko huru ndani ya nafsi huru tu. Huru kimawazo na kifikra na huru ndani yake. Mfano mtu wa Pemba akikaa na watu wa Unguja na yeye hapo akaanza kujifanya si mtu wa ya moyo na huru kuikubali nafsi yake kwamba Pemba. Hii ni dalili mbaya sana ni sehemu katika yeye ni vile alivyoumbwa na Allah (SW). Uhuru maradhi yasio dawa, maradhi ya utumwa akilini. tunaouzungumzia hapa si ule wa kuwa mtu hajati- Kumbuka katika maisha mtu anaweza kubadilisha wa au kayavuwa minyororo ya miguuni au shin- kila kitu na mara nyengine pasiwe na dhara yoyote goni, lakini uhuru tunaozungumzia hapa ni kuwa ndani yake, mara nyengine pakawa na aibu na mtu kuyavua minyororo iliyoko akilini na moyoni. fedheha lakini bado mtu anaweza kubadilisha akitaka. Mafano watu wanabadilisha uraia, wanab- adilisha majina, wanabadilisha hata rangi ya ngozi kwa kujichubuwa, wanabadilisha maumbile ya ny- wele zao kwa kuzichoma au kwa njia nyengine yoyote ile na wengine wanazidi kipimo hata kuji- badilisha kutoka uwanaume kwenda uwanawake na kutoka uwanawake kwenda uwanaume na men- gine mengi tu. Mtu anaweza kujibadilisha atakavyo lakini hakuna mtu anaweza kubadilisha pao alipoz- aliwa au alipolelelwa au alipozaliwa na kulelewa, maana hakuna anayeweza kurejea tumboni kwa mama yake au kuzirejesha siku nyuma.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Kwahivyo mtu aende juu chini kwao ni kwao tu hata kuwe shamba kijijini na hakuna maendeleo ya aina yoyote na labda watu wa hapo wanasema kwa lahaja inayochekwa na wengine. Lazima mtu akumbuke hapo ndio alipotaka Allah (SW) pawe kwao, azaliwe hapo na akulie hapo na apate rizki zake alizoandikiwa na Allah (SW) ikiwemo maji ya kunywa, chakula, he- wa anayoivuta na mengineyo. Mtu akijaribu kujibadili- sha katika hili atakuwa ni mtumwa na wa nafsi au akili zake au kwa lugha ya karibu zaidi atakuwa ana- jidanganya. Kumbuka hakuna jambo baya zaidi katika maisha kuliko mtu kujidanganya mwenyewe. Hadi hivi tunapoiandika makala hii, adui mkubwa wa binadamu ni akili zake mwenyewe. Matokeo ya mtu kujidharau nafsi yake ni kuidharau jamii yake na eneo ambalo Allah (SW) alimjaalia ku- zaliwa au kukulia Kwahivyo mtu aende juu chini kwao ni kwao tu hata kuwe shamba kijijini na hakuna maendeleo ya aina yoyote na labda watu wa hapo wanasema kwa laha- ja inayochekwa na wengine. Lazima mtu akumbuke hapo ndio alipotaka Allah (SW) pawe kwao, azaliwe hapo na akulie hapo na apate rizki zake alizoandikiwa na Allah (SW) ikiwemo maji ya kunywa, chakula, hewa anayoivuta na mengineyo. Mtu akijaribu kujibadilisha katika hili atakuwa ni mtum- wa na wa nafsi au akili zake au kwa lugha ya karibu zaidi atakuwa anajidanganya

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Tukiondosha masuala ya kidini kama vile misiki- kumbuka penye wengi kuna mengi na hakuna mwenye ti, vyuo na mayatima, Mkoani inahitajia misaada kumiliki fikra zote busara na mawazo, hata watoto mbali mbali ya kijamiii, na hakuna wa kuyafikiria wadogo wanaweza kuwa na upeo fulani wa kifikira kuli- wachilia mbali kuafanya bali ni sisi watu wa ko watu wazima. Mkoani wenyewe. Hatuwezi kutarajia hata watu Tunalokuomba ni kwamba popote pale ulipo duniani na wa Chake Chake tu waje watuezekee misikiti kazi yoyote ile ufanyayo, usisahau kwamba wewe ni mtu yetu huko Mkoani au kutowa mabuku na kal- wa Mkoani, kwahivo mchango wako ni kama damu kati- amu maskulini, hilo haliwezi kutokezea. Sisi wa- ka jamii yetu. Hata ikiwa huna chochote cha kuchangia tu wa Mkoani tusimame kidete kwa hali na mali basi jiunge na Jumuiya ya Faraja, vile kuwa pamoja tu ni ili kuhakikisha kila kinachoweza kufanyika kin- sehemu ya neema kubwa. Kila watu wanaposhirikiana afanywa. Tuwache kuwa majivuli ya mvumo, na huwa hapakosi kheri kubwa, wahenga walisema umoja tuziambie nafsi zetu kwamba wakati ni huu wa ni nguvu. kusimama na mji wetu na tusisubiri kesho au mtu mwengine aje atusimamie shida za mji Tunazidi kusisitiza michango si pesa tu, na kwa hili tuta- wetu. towa mfano wa watu uwanaojithamini nafsi zao kwa- hivyo wanaithamini miji waliyozaliwa. Tunawajuwa watu Fikra za kusema Mkoani hapafanyiki kitu wanaotokea Oman huenda Pemba katika miji wao, kati- zimepitiwa na wakati. Sasa kila mmoja wetu ka misaada wanaoifanya ni kusafisha misikiti. Kama aanze kufikiria ni upi msaada wake utaweza tunavyojuwa kwetu, mara nyingi usafi haupewi kipa um- kuisadia jamii ya Mkoani kwa ubora zaidi. Pen- bele sana. Si unaona hapo hilo halitaki pesa. Hao huen- gine mtu hana pesa lakini anawajuwa wenye da hapo kwa shughuli zao nyengine lakini bado wana- pesa, au unazijuwa taasisi zinazotowa misaada chukuwa fursa hiyo kuishughulikia jamii. Kwa mtazamo ya kibinadamu duniani au ana fikra za ki- wa kijuu juu mtu anaweza kuliona hilo dogo lakini huo ni maendeleo zaidi ya tunavoweza kufikiria sisi,

TOLEO No 01 01. 08. 2020 msaada tosha wala hauwezi kudharaulika. Kwani hakuna msada mkubwa wala msaada mdogo, masaada ni msaada tu na huduma kwa jamii ni huduma tu, hakuna kubwa wala ndogo kwani kila mtu hujikuna ajipatapo. Na katika maisha ya leo hakuna wa kuku- pa furaha ya ukweli, ukitaka furaha ya ukweli basi tafuta mbinu za kujifurahisha mwenyewe. Na hakuna mji unaoweza kufurahishwa na watu wa mji mwengine isipokuwa watu wa mji huo huo. Tuz- indukeni na tuwe wenye kutowa furaha katika mji wetu na jamii yetu ya Mkoani. Watu wanyoge wajihisi kwamba shida nee- ma za Allah (SW) bado zipo. Tujikubalishe kwamba shida za watu wa Mkoani nishida zetu sote popote pale tulipo duniani hata ikiwa tunaishi kwa raha na Maisha ya faha- ri. Tukiweza kutatuwa matatizo yao kwa mujibu wa uwezo wetu, hatuwa moja baada ya nyengine. Tukianza na matatizo madogo madogo iko siku tutafika katika marhala yenye kuridhisha, hata sisi tutaweza kujivu- na na pengine kwa mara ya kwanza wale waliokuwa wakiuficha uasili wao wataweza kujitowa kichani na kujivuna hadharani kuwa na wao ni watu wa Mkoani. Katika Maisha hakuna lisilowezekana na mtu hajui kuwa anaweza kufanya kitu mpaka ajaribu. Nakuomba ndugu yangu mtu wa Mkoani jiweke huru, ujitolee na uweko tayari kuchukuwa hatuwa ya kwanza. Katika lolote lile, hatuwa ya kwanza ndio ufunguo muhimu wa maendeleo. Wewe na mimi ndio funguo za shida ya watu wa Mkoani. Ni busara sana kuuzingatia ukweli huu wa maisha kwamba mtu anapopanda ngazi kwenda juu, wakati akishafika huko juu basi asiisukume ngazi aliyopan- dia, kwasabbau ni lazima tu ataihitajia kuteremkia. Ikiwa ngazi alisukuma basi na yeye itabidi aanguke. Sasa ikiwa mtu kwa sababau tofauti alihama Mkoani akaenda kuhangaikia Mai- sha katika nchi au miji mengine basi kuna uwezekano mkubwa akishazeeka akataka kurudi kwao Mkoani. Fikiria sasa ikiwa mtu huyo ataikuta Mkoani kama alivyowacha miaka thala- thini au khamsini iiyopita. Ataanza kulalamika kwamba MKoani haibadiliki, Na watu kama hawa wapo wengi sana. Mkoani haiwezi kujibadilisha weneywe, wa- tu wa Mkoani ndio waibadilishe. Na hilo ni jukumu la kila mmmoja wetu.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Teksi za Kengenja Pamoja na ukweli huo, bado wapo watu wanaojit- haya ya leo watu wema bado wapo. olea katika kufanya kheri kwa ajili ya Allah (SW). Kwahivyo Jumuiya ya Faraja tumeaanzisha mika- Nasaha zetu kwa wanaostahili na wenye nia ya kutowa kati na jitihada kubwa za kuwasaidia mayatima ni kwamba nia yetu iko wazi na ni kwamba ha- walioko katika wilaya ya Mkoani. Ingawaje kwa tumlazimishi au kumshauri mtu atowe michango kwa sasa hatuna uwezo wa kuwatizama mayatima mayatima kupitia katika hesabu zetu za benki bali tuna- wote lakini penye nia ipo njia. Utaratibu wetu ni washauri wote waliouona umuhimu wa kuwasimamia kuanza kwa wale wenye shida zaidi au kuwapatia mayatima ijapo kwa kiwango kidogo kwa mwezi kwa misaada kwa zamu. familia moja basi wafanye hivo kwa kuwapelekea wa- husika moja kwa moja bila kupitia katika mikono yetu. Kwasababu na wewe ni mtu wa mkonai, tu- Jumuiya ya Faraja itaunganisha mawasiloano baina nakuomba ushirikiane na jumuiya yetu katika yako na familia ya mayatima. kukamilisha harakati hizi. Kumbuka uyatima si ulemavu, hawa mayatima tunaowasaidia leo ndio Ijapokuwa ni kweli kutowa ni kugumu. Na ni kweli hata watakao kuwa madokta kesho. Usishangae mmo- ikiwa mtu anapesa kwa mabilioni au anamwaga vyaku- ja katika hawa akawa ndie dokta anayekutibu la mara tatu kwa siku basi bado moyo au tuseme ibilisi siku ukiwa kizee. Mayatima hawa wanaweza ku- hampi fursa ya kufikiria kuwasaidia wenye shida, hata wa maulamaa wakubwa na elimu yao ikawa na ikiwa wenye shida hao ni mayatima. Lakini jumiya ya faida katika jamii nzima, mashekhe, mainjinia, Faraja tunaamini kwamba na wewe unaifikiria akhera wanasheria, viongozi wa baadae. Haya yote yan- yako. Kwa vile na wewe ni muislamu mcha Mungu, awezekana ikiwa mayataima hawa angalau unajuwa uzito wa mayatima katika mezani ya Allah wamepewa tamaa kwamba bado katika maisha (SW) katika siku ya malipo.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 tunapenda kutowa pendekezo. iki- wa utafikiria kuisaida familia japo moja tu ya mayatima kwa mwezi, tuseme ukajiwekea kiwango kidogo cha pound 10 kwa mwezi kama upo UK, Euro 15 ikiwa upo Ulaya, Dola 15 ukiwa USA, Canada au Austrila, Riale 5 ukiwa Oman, dir- ham 50 ukiwa UAE, shilingi 30,000 ukiwa Tanzania kiwango cha pesa kama hichi hatufikirii kama ni kikubwa kwa mtowaji na ki ukweli si kikubwa kwa mpokeaji pia, lakni hakuna msaada mdogo.na ni bora kupata kitu kuliko kukosa kabisa. Kwa kutoa kiwango kidogo kama hichi, pesa ambazo mtu hununulia shawarma tu, hujui kiwango cha furaha unachoweza kuingiza katika familia pokezi. Huwezi kukisia ki- wango cha dua unazoweza kuombewa katika kila sala ndani ya familia pokezi, Watoto wanaopokea msaada wako wanaweza kuwa na uwezo zaidi wa kusoma na kufahamu katika masomo yao. Huwezi kujuwa maisha unayowajengea mayatima hao, na wewe mtowaji hesabu yako kwa Allah ni ya kuendela. Ikiwa utaamua kutoa sadaqa za mayatima kupitia katika sehabu zetu za benki, utafurahi kujuwa kwamba tunahakikisha mpokeaji anarikodiwa pamoja na kiwango anachopokea. Bahasha itakuwa imeandikwa neno la siri ulilolichaguwa ili uweze kujuwa kwamba sadaqa yako haikutumiwa vibaya. Tunahakika mtowaji na mpokeaji watakuwa na furaha wakijuwa kwamba Jumuiya ya Faraja inafanya kazi yake kwa kuzingatia maadili ya usilamu. JIUNGE NA JUMUIYA YA FARAJA . JUMUIYA HII NI YAKUTOWA MISAADA NDANI YA WILAYA YA MKOANI PEMBA. KUIUNGA KWAKO NI MAFANIKIO YA WATU WA MKOANI. EMAIL: [email protected]

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Kumbuka hakuna jambo baya zaidi katika maisha kuliko mtu kujidanganya mwenyewe. Hadi hivi tunapoiandika makala hii, adui mkubwa wa binadamu ni akili zake mwenyewe. Matokeo yake hata aki- wa tajiri ataanza ku- watizama wale ambao akili zake zinamtuma na kukwambia kwamba ndio watu bora kuliko yeye nfasi yake na watu wa mji alozaliwa. Ataanza kusahau kwamba sa- daqa huanza nyumbani Mtu anapoweza kuitham- ini nafsi yake na kutham- ini alipozaliwa au alipo lelewa basi hapana shaka yoyote anaweza ku- unarejewa, kwahivyo tunakuomba na wewe ushiriki kika- wathamini ndugu zake. Ndugu hapa si lazima milifu katika kuijenga jamii yetu ya Mkoani, kumbuka wale alozaliwa nao tumbo moja tu, wale walotoka Mkoani inakuhitajia, tafadhali itikia wito huu na ujiweke mji mmoja pia ni ndugu zake, walokwenda skuli huru kwa kujipenda nafsi yako sababu ukiipenda Mkoani pamoja kwa miaka nenda miaka rudi ni ngudu basi ndio unajipenda nafsi yako. zake, walokwenda vyuoni na watu wa jamii yake Pamoja na kusema hayo tafadhali usichukulie kwamba kwa ujumla ni ndugu zake. Akiwa ataipa jamii tupo katika kujaribu kumlaumu mtu. Ni kweli kwamba yake thamani yake inayostahiki basi hata kwa muda wote huo hapakuwa na jumuiya yoyote ya misaada yake itakuwa kwanza anaipeleka kwa watu wa Mkoani iliyojitolea kusimamia maslahi ya mji jamii yake. Hatusemi ni vibaya kujenga misikiti au wetu. Sasa Jumuiya ya Faraja imejitokeza na iko na mi- vyuo au kusaidia mayatima na mafukara au ku- kakati mikubwa ya kufanya mabadiliko hata ikiwa ni ma- saidia jamii mbali mbali kwa njia tofauti, laa ha- dogo madogo lakini safari ya kilomita elfu huanza kwa sha, lakini ikiwa misikiti ya ulipotokea inavuja ika- hatuwa ya kwanza. wa mtu haitizami badala yake anajenga misikiti katika jamii nyengine hapo inafaa azifanyie mare- Sisi katika Jumuiya ya Faraja tunajivunia kwamba ni wa- jeo na tathmini tena fikra zake. tu wa Mkoani pamoja na kwamba mji wetu ndio labda wa mwisho kwa kila kitu lakini bado tunajuwa kwetu ni Mtu kwao ni msemo maarufu sana na kila siku kwetu na ni hili tu mtu hawezi kulibadilisha. Tunakupen- da sana Mkoani na jitihada zetu zinaanza kuonekana wilayani pote. Tunamshukuru sana Allah (SW) kwa kuweza kutuamsha katika hili.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 VISIMA NI KATIKA SADAQAT JARIA JENGA AKHERA YAKO WAKATI BADO UNA NGUVU, UKIWA MGONYWA KITANDANI UNAWEZA KUWA NA MAJUTO ZAIDI YA CHOCHOTE CHENGINE SHIRIKIANA NA JUMUIYA YA FARAJA KATIKA KKUTA- FUTA KHERI NA MSHINDI WASILIANA NA UONGOZI WA FARAJA ULIOPO UK TEL +44 7940 1821 87 +44 7960 5070 92 EMAIL: [email protected]

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Ugawaji wa misahafu Moja katika miradi iliyokamilika ni ugawaji wa Kwanza kabisa tunamshukuru mdhamini wetu kwa misahafu iliyofasiriwa kwa Kiswahili ya kutuamini na kwa imani yake, Allah (SW) amfungulie Sheikh Muhsin Al Barwani. Zoezi la ugawaji milango ya kheri duninani na akhera. Tunawashuku- lilisimamiwa na wakala wetu hapo Mkoani ru pia wote waliohusika katika ugawaji wa misahafu Pamoja na jopo lake. Hadi sasa kumekuwa na hiyo. Katika awamu ya kwanza mawakala wetu wali- awamu mbili za ugawaji huo na ni kwa mujibu jitolea fii sabilillahi katika kuifanya kazi ya usamba- wa upokeaji. Awamu ya kwanza ilikuwa ni zaji wa Meneno ya Allah (SW). Mawakala hawa wa- misahafu 150 na awamu ya pili ilikuwa tapata ujira mkubwa zaidi katika siku ya malipo misahafu 200. kwani malipo mema kuliko yote yapo kwa Allah (SW) Kazi ya ugawaji haikuwa nyepesi kama mtu anavyoweza kufikiria, lakini jitihada kubwa ilipita katika kufani- kisha zoezi hilo, hasa tukizingatia miundo mbinu iliyoko huko katika suala zima la usafiri. Jitihada kubwa zimefanywa ili kuhakikisha kwamba misahafu hiyo inawafika walengwa. Katika awamu ya kwanza misahafu miwili miwili ilisambazwa na katika awamu ya pili misahafu mitatu mitatu ilisambazwa misikitini. Ingawaje misikiti ni mengi sana katika wilaya ya Mkoani kwa hivyo misahafu hiyo ilisambazwa kwa majimbo. Tunamuomba Allah (SW) misahafu hiyo itumike katika kutafutia elimu ili mtowa sadaqa hiyo

na kila aliyehusika apate ujira wa Sadaqat Jaria. TOLEO No 01 01. 08. 2020 Zoezi hili limefanikwishwa kwa nia moja na bila Sadaqa hizi zimetolewa, kusambazwa na kutizama asili ya mpokeaji, kabila au dhehebu. zimepokelewa kwa kheri kubwa sana. Hii Quran ni maneno ya Allah (SW) kwahivyo kila imeonesha wazi kwamba harakati za ju- Muislamu inampasa kuyasoma, kuyajuwa, muiya ya faraja zimeanza kufanikiwa katika kuyasambaza na kuyafundisha. Katika hilo malengo yake. Moja katika lengo ni kuun- mbora zaidi ni yule anayetekeleza hayo au moja ganisha jamii kwa kupitia taratibu kama hizi katika hayo kwa imani ya dhati ya kumridhisha za misaada. Hadi sasa tunaona mafanikio Allah (SW). yanazidi kufurahisha. Misahafu hiyo ni sehemu kubwa ya kuboresha viwango katika fani ya elimu katika misikiti na jamii zetu. Waumini wengi wanaofanya ibada katika misikiti hiyo ha- wana ufahamu wa lugha ya kiarabu, lugha asili ya Quraani tukufu. Misahafu hiyo itakuwa ni chanzo kikuu cha elimu kwa waumini hao. Elimu ni sehemu ya Sadaqat jaria, kwahivyo ni ibada muhimu kwa wau- mini. Katika orodha ya picha tulizoziweka humu hazileti maana ya kwamba tunatafuta njia za kujivuna, la hasha, bali tunataka ku- wahakikishia waumini wote waliofikiwa na gazeti hili kwamba Jumuiya ya Faraja in- afanya kazi kwa nia safi na nia moja tu ya kumridhisha Allah (SW). Wapo wanaopokea sadaqa kama hizi na badala yake wakaamua kuziuza vile walivyoamini- wa kwavyo.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Kuaminiwa hakuji kwa bahati mbaya, bali kunajengwa. Kwa- hivyo katika nyakati kama hizi hatuna budi kujenga uaminifu wetu kwa wote wanaosaidia na wale wanaoshindwa kusaidia kwasababu ya kujuwa kwamba uaminifu umetoweka katika mazingira yetu sasa. Na huu pia utakuwa ni ujumbe kwa wale wanaoshuhudia katika haya kwamba jumuiya ya Faraja imejipanga katika njia za kheri. Jumuiya ya Faraja inakukaribisha kuijenga akhera yako kwa njia kama hizi za kutoa chanzo cha elimu na kutoa katika njia za Allah (SW). Sisi tunachukuwa ahadi kufanya wajibu wetu. zaidi ya hapo kila kit- olewacho na kusambazwa huwa kinarikodiwa na mtowaji anapele- kewa kopi yake ili aweze kuridhika kwamba juhudi zake hazikupotea. Ukitaka kutowa katika sadaqa za misahafu au vijuz uu au chochote kile, tafadhali wasiliana na uongozi wa Jumuiya ya Faraja ulioko Lon- don. Namba za simu na email zinapatikana ndani ya gazeti hili.

TOLEO No 01 01. 08. 2020

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Miradi iliyopo katika mataarisho Hichi ni chou cha Quran kinachosomeshewa siku hizi hapo Kangani Hichi ni chuo kilichopo katika eneo la Sega, Kangani Mkoani. Chuo hichi husomeshewa Quran wanawake watuwazima na watoto . Hali ya chuo haitaki hata kuelezewa. Kwa bahati mzuri, Jumuiya ya Faraja imeanza mazungumzo na wafadhili ili chuo hichi kijengwe katika ya hali ya kuridhisha. Wanafunzi wote wadogo na wakubwa wapate kusoma kitabu cha Allah (SW) katika mazingira bora zaidi. Chuo hichi si kikubwa ki masafa ya eneo. Hata hivyo matumizi yake ni ma- kubwa sana, sababu katika chuo hichi elimi ya Quarn inasomeshwa kwa wana jamii. Thamani ya kazi ya chuo hichi ni kubwa na inafaa sana ku- tunzwa. Jumuiyaya Faraja inawaomba wote wanasoma gazeti hili kuchangia katika amali hizi za kheri na a,ali za sadaqat Jaria. Kumbuka ukitowa katika harakati kama hizi mshindi ni wewe. Baadhi ya wanafunzi watakasomea chuo hichi watamalizia kuwa waalimu wa wengine na wewe ujira wako unaendela kadri ya chou kinavyotumika na wana- zunzi kusoma na wao kuwa waalimu na wanafunzi wao kuwa waalimu basi hesabu yako inaongezeka.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Jumuiya ya faraja bado inajikita katika kutatuwa matatizo yanayowakabili watu wa Mkoani. Kusema ukweli hali huko ni mchafu koge, kwa vile ubavu ni mdogo, inabidi kuchaguwa miradi ya kuikabili. Chaguo letu la kwanza ni miradi ya aina nne nayo ni misikiti, visima, vyuo vya quran na mayatima. Miradi ya aina hii, huwa pamoja na michango ya wanachama wa jumuiya ya Faraja, huwa tunatafuta wafadhili se- hemu mbali mbali. Wafadhaili kama ka- waida yao huwa wanakuja na masharti yao. Moja ya masharti huwa ni kuchagu- wa sehemu kadhaa kuzichangia katika mradi. Mfano baadhi ya mafadhili huchaguwa kuezeka paa, wengine ku- jenga vyoo katika misikiti. Wengine wanachaguwa kuchimba visima na kadhalika. Katika baadhi ya miradi ilioko njiani ku- patiwa ufadhili ni misikiti wa makoongwe ambao utapatiwa mfadhili wa kuezeka paa jipya, waumini angalau watasali bila kuvujiwa katika siku za mvua.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Mbiu ya mgambo Hifadhi KIDOGO KWAKOADVERTISEMENT HEADING coins KIBWKAIBKWWAA KWWENAGINE TUJENGENI UPENDO WENGINE TAFADHALI USIZITUPE MAYATIMA COINS, ZIHIFAD- HI KWA AJILI YA KUWASIMAMIA MAYATIMA. KWAKO NI NDOGO NI KUBWA KWA KWAO, TEL: +447940182187 Expiration Date: 00/00/00 EMAIL: [email protected] POPOTE PALE ULIPO DUNIANI ZIHIFADHI COIN KWA AJILI YA KUWACHANGIA MAYATI-

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Said Al Aufi mwanaharakati

TOLEO No 01 01. 08. 2020 CHENJI CHENJI MIPANGO YA JUMUIYA YA FARAJA IFUATAYO KWA MAYATIMA Ndugu msomaji tunakuomba uzingatie wazo hili na uwe ni mwenye kulitekeleza, manufaa yatakuwa na yako wewe na wengine. Mkoani kuna mayatima wengi. Sote tunajuwa wazi kwamba Maisha ya mkoani ni mazito sana, wale wafiwa bilashaka yoyote walikuwa kati- ka mazingira magumu tangu walipokuwa na baba zao, leo wakiwa mayatima Maisha ni magumu zaidi. Njia moja ya kuwezesha Maisha yao ni kupatiwa misaada mbali mbali. Kwa bahati mbaya sana hadi misaada si rahisi kupatikana na inayopatikana ni midogo sana. Hatutaki tuonekane kana kwamba tunataka kuwarushia watu majuku mazito lakini sote tunajuwa wazi kuwa kil atataizo halikosi suluhisho lake. Moja katika jawabu mjarabu sana kwa changamoto hizi ni sisi watu wa mkoani tulioko nje kubadilisha baadhi ya tabia zetu. Mafano kutafuta utaratibu wa kuzichanga zile chenji chenji ndogo ndogo zi- nazobakisha tunaporudi madukani, chenji ambazo mara nyingi huachwa garini au hata kuishia madirishani au chini ya mivungu. Kumbuka kila kidogo kwako pengine ni kikubwa kwa mwenzako. Tumelichaguwa hili kwasbabu tunaona haitokuwa vyema kuwa tun- apeleka maombi kwenu, tunajuwa wazi kwamba kila mtu ana ma- jukumu yake pishi tele. Tunajuwa wazi kwamba kil amtu anao wengi katik ajamaa zake anaowasadia huko nyumbani. Tunajuwa wazi kwamba kila mmoj awetu anajitolea kwa hali moja au nyengine. Ndio maana tunaona tulichaguwe hili ambalo halimtia mtu kigugumizi wala magharibi ya roho.

Visima Ikiwa hili litawezekana na kufanyiwa kazi, basi familia nyingi zenye ma- yatima zitapata faida kubwa na mabadiliko haya. Ikiwa family moja ina- pata ulfu thalathini kwa mwezi, basi ijapokuwa pesa hiyo ni ndogo sana katik ahali ya Maisha ya sasa, lakini bora kupata kidogo kuliko kukosa kabisa. Ilimradi ikiwa family inajuwa kwamba kila mwezi angala ipo fur- sa ya kupata pesa kama hiyo basi angalau wataweza kununua Mafuta ya taa, sabuni za kuogea na kufulia na baadhi ya mahitaji yao madogo madogo. Tunakuomba ndugu yetu usilidharau hili kwani manufaa yake ni ma- kubwa sana. Kuweza kuifurahisha familia moja ya kayatima katika wa- kati magumu kama huu ni jambo kubwa sana. Tujitahidi kuwafungulia mioyo yetu mayatima katika mji wetu, malipo juu ya hilo yapo kwa Allah (SW). Visima ni katika sadaqat jaria nyengine ambayo muumini yoyote yule inampasa kuitupia macho ya rehma. Katika mji wetu wa Mkoani misikiti mingi ina- shida nyingi moja yao ni maji. Jumuiya ya Faraja imejikita kulibeba jukumu hili kwa kadri ya uwezo wetu. Katika siku chache zijazo tutaanza miradi miwili ya visima vya maji katika misikiti miwili, msikiti ya kikwajuni na msikiti ya Makanye. Miradi hii inasimamiwa na mdhamini wetu aliyeko Oman. Baada ya msikitihiyo miwili inshallah vitafanywa visima vengine viwili. Na kazi hiyo inapangwa kuendelea hivo hivo hadi tufikie marhala ya kuridhisha. Fursa ya visima katika vijiji au miji midogo midogo vinaweza kusaidia zaidi ya misikiti. Na hilo ndio jambo muhimu zaidi pia. Huduma kila zikiwafika watu na wa- towaji wanapata hasanat zaidi.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 Kusafisha misikiti Moja katika kazi ambazo Jumuiya ya Faraja inajipanga kufanya Angalia Video zetu katika siku za zijazo ni usimamizi wa usafi wa misikiti. Misikiti kupitia chanali yetu ya inahitajia usimamzi na usimamizi wa kimazingira ni katika masu- youtube na ujiunge ili ala muhimu zaidi. Kwesema ukweli usafi ni adimu kidogo katika uwe wa mwanzao kuju- misikiti huko kwetu. wa kila tunaporusha video mpya Jitihada hizi zitaiwezesha misikiti kuwa katika mazingira mazuri daima. Mazingira ya kutizamika na mazingira ambayo https://www.youtube.com/channel/ hayaathirishi afya za waumini. Mfano sehemu za kutilia udhu UCRH3Jj6-Q1gf5RonJYbWmRg? katika misikiti mingi hufufika hadi kuota magoya na vyoo ndio view_as=subscriber huwa havisemeki. Vyoo ukiondosha kuwa haviko safi basi hata rangi huwa mbaya sana, kwasababu huko ni chooni tu chokaa Tunakuomba fikra na inatosha kukidhi haja si lazima rangi za kisasa. wazazo yako katika shughuli zetu za Kazi hii ya kusafisha misikiti haitohitajia malipo, kwahivyo si lazi- uendeshaji wa jumuiya ma kupata wadhamini. Wakala wa Faraja na jopo lake watapita hii ya Faraja. Mchango katika msikiti kutowa miharadha au mawazo au taaluma ya wako wa mawazo tunau- umuhimu wa usafi katika misikiti. Na kuwashauri jinsi ya thamini sana na una kusimamisha usafi na umuhimmu wa usafi misikitini. maana sana kwetu. Kum- buka hii ni jumuiya Watakaoifanya kazi hiyo ni wanafunzi wakubwa wa vyuoni. Ki yetu sote na inawa- kawaida huko wanafunzi huwa wanatumiliwa kuwachangia kuni, hudumikia ndugu zetu kuwalimia na mengineyo mwalimu wao. Kwahivyo haitokuwa huko Mkoani. ajabu au jambo jipya wanafunzi hao kutumiliwa kusafisha misiki- ti na kuvipaka vyoo chokaa Sehemu zinazohitajia kusafishwa si vyoo na sehemu za kutilia udhu tu, bali hata ndani ya msikiti utakuta mabuibui wamejenga na mavumbi kila sehemu. Kazi hii inawezekana kufanyika sana tu kwasbabu Faraja tayari imejenga ushirikiano mwema na mis- ikiti. Wakiweza kulikamilisha na kulimudu hilo basi itakuwa rahisi sa- na kuwawezesha kufanya jengine. Mafano sasa msikiti ukifanya ufa wataweza kuushughulikia kabla kupasuka ukata kabisa. Bati likainza kuvuja watatafuta mbinu ya kuliziba. Hayo si mambo makubwa lakini yanataka mazoea. Yakiweza kukamilika yote hayo, misikiti yetu itakuwa si kwamba iko safi tu lakni itaweza kudumu kwa muda mrefu zaidi bila kuhitajia marekebisho makubwa, marekebisho ambayo yana gharama kubwa na yanahitajia wadhamini. Wadhamini si rahisi kuwapata na wakipatikana wanakuwa wanataka pafanywe wa- takavo wao.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 FARAJA NGO ZANZIBAR Baada ya kuzifanyia tathmini kubwa na za kina wakiweo baadhi ya balozi za nchi za kimagharibi na jitihada zetu, miradi yetu na mafanikio yetu. Pia Japan. tumeifanyia uhakiki na tathmini idadi ya miradi na kipimo cha shida zinazotufikia kutoka kwa Faraja NGO itasimama baina ya milango ya mafani- wana Mkoani kila wiki. Imeonekana wazi kio na historia. Kwa kipimo cha haraka haraka cha kwamba uwezo wetu wa kukusanya misaada kibinadamu tunaona kwa upeo mkubwa sana kwam- haitoweza kukidhi shida zinazotufikia. Haja ya ba Faraja NGO itaweza kufikisha malengo yake kwa kuanzisha kitengo maalumu huko Zanzibar muda mfupi na itaweza kukidhi shida za watu wa imeonekana ipo na ni muhimu sana. Mkoani. Kwa mtazamo kama huo, jitihada za kuanzisha Katika shida na dhiki kubwa ya watu wa Mkoani ni Faraja NGO huko Zanzibar zimeanza na katika suala zima la ajira. Kuna mengi yanayochangia apendapo Allah (SW) tawi hilo litakuwa katika dhiki hii lakini kubwa zaidi ni kwamba watu wa linajiendesha wenyewe na kwa mtazamo kama Mkoani hawana ujuzi wa aina yoyote unakwenda huo Faraja NGO itweza kutafuta wadhamini sambamba na wakati huu tuliopo. Ili kutatuwa dhiki hii mabli mbali wakiwemo wa kimataifa. Wad- Faraja NGO ina nia na malengo ya kutafuta wad- hamini wa kimataifa wanakuwa wanajikita sana hamini wa kujenga taasisi ya kusomesha taaluma na kusaidia nchi 50 masikini zaidi duniani. maalumu (Vocational Training Center). Kufanikiwa kwa kuanzishwa Faraja NGO huko Kituo hichi kitabeba jukumu la kuwasomesha vijana Zanzibar kutaweza kufanikisha miradi mikubwa na wasichana ili waweze kujitegemea wenyewe. mikubwa ambayo kwa sasa inaonekana kana Taaluma za kazi ambazo zinafaa na zinahitajika kati- kwamba itaendelea kukaa katika orodha ya ka jamii yetu. Mfano ukulima wa baharini. Kilimo cha miradi ya baadae. mwani na ufugaji wa samaki ni sekta mbili zitakazoleta natija na manufaa makubwa kwa jamii Faraja NGO itaweza kuwaunganisha kwa hara- nzima. ka zaidi watu wa MKoani waliopo Ungaja, Dar es Salaam na sehemu mbali mbali za Tanzania Kituo hicho kitasomesha taaluma za kompyuta, na Afrika Mashariki kwa ujumla. umeme, ushoni, ufundi seremela wa kisasa, ufundi wa ujenzi nyumba, mifugo na kilimo cha kisasa. Waswahili wamesema nyongeza kuwekwa Taaluma hizi zitaweza kuivuusha jamii yetu na kuin- kwenye fungu. Kwa mtazamo kama huo gia katika marhala nyengine kabisa. tunaamini kwamba tukichanganisha mafanikio ya Faraja mama na Faraja NGO, itakuwa rahisi Mtu akitizama kijuu juu ataweza kufikria kwamba hai- kuwavutia watu wa Mkoani wenye pesa wali- wezekani kwa hayo yote kutokezea Mkoani. Ukweli ni opo Dar es Salaam na Unguja. kwamba huwezi kujuwa kama kitu kinawezekana hadi pale utakapojaribu. Itakuwa rahisi pia kuwavutia ndugu zetu wali- oko katika madaraka ya kiserikali na zaidi ya Faraja NGO itaongozwa na Bi Raya Shaaban, ambae hapo kuwavutia wale wenye uwezo wa kukabili- tushasema nae na yuko tayari kutoa ofisi ya mwanzo ana kwa mafanikio watowa misaada wakubwa ya Faraja NGO hapo Zanzibar. Ataishughulikia jum- hiya hii ya kheri kwa njia ya kheri pia, hitaki malipo.

TOLEO No 01 01. 08. 2020 GAZETI HILI HUTOLEWA KILA BAADA YA MIEZI MITATU TOLEO FARAJA NI JUMUIYA YAKO MTU WA MKOANI POPOTE PALE ULIPO DUNAINI. JIUNGE LEO NA UPATE KUJUWANA NA WENZAKO NA KUJUWA HALI HALISI YA MKOANI Faraja ni jumuiya ya utendaji, ikiwa na wewe unataka kushiriki katika kufanya mabadiliko ya Mkoani kwa kadri ya uwezo wako, basi hapa katika Jumuiya ya Faraja ndio umefika. Jiunge leo kwa manufaa ya mji wako Ukitaka kujiunga na Jumuiya ya Faraja, peleka email au WhatsApp kwa uongozi wetu uliopo Mjini London, UK Email: [email protected] Simu : Mwenyekiti: +44 7940 1821 87 Katibu Mkuu: +44 7841 5794 29 Msemaji Mkuu: +44 7960 5070 92


Like this book? You can publish your book online for free in a few minutes!
Create your own flipbook