Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 1 10/10/2022 11:33 OCTOBER - DECEMBER 2022 I accept, I protect Ukweli kuhusu UKIMWI Pande mbili za shilingi How no became yes No. 63 ISSN 1821 - 5599
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 2 10/10/2022 11:36
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 3 10/10/2022 11:36 Let’s Talk HIV/AIDS!LyyteNooohctfufjuNo’irsbohstnojlehOmoyrNebtomsnoceaworauueDbmjemavaayduorigrrewoceswuRrbcoianrbmtviE,oprdtsncueesteinoiiyehvncenybotevrioehefayNosaeeotsehoowgndweetvloesduorufwtrrmoerusivemuueais,ittmaatwnwtesremeegslhchyijhyhbbnhofni,oeptuhheatsusot.uovdwtoyioomwsrotsatavnthrateluhIfe-tuknuoeeoresgesutdtepoNeeeeebrdarpfFlcdrvcney!iettorjHirhwekhtcoeaoetoaotoWreheer.moIeahvafibehdanrimveaasAVspnlboahcesaafeoebtek/udwFebklaaleielalurlA!rtrle,lmt-eeiMypmee,trbaeinmWoymIlsawgeohnmCiabogDeuopftaimidshnuagrtsehueesoougeagoSai,t?deseotlaeduw,rrhcah,lhstivathhsret!zWniie!zoaoMe,atihzdainaednasgnrriWhphlHesielsidnriedjSfl‘reftyseeehcsoo.rIfeqlofarr,halawasiVyeNJuryee!aclfotvtasua/uhilamooegbaeuoabsjoluIAttmcgetohucahsitrlorhethwrIuhardtimmeand’irosuntDiodtirribdResidwptosvahsabued!ebaMSo???pueniebenetiasrb,MusgesklorseoseAyW!Tdidftosonhaliowrnntau-o,s!uyOaurgeyfeowaehlrradet?boAPJiuasotnymenlebeyarotduh,rucRoLtsianyeesootnuaouetaupieVsosttwnmhnttd?onrwoiettuisohangeumsfkhme’escaHRpo.ipruscmnofostrlewuMttaIurWeeena,gownruiVocgallacwycdhowoapyiod/tcehaftherepdl!citnreA,aehecuninatakohRynadcss,ahIa3otdgdoeootacleDaslwnalafteuuonrnthgacbS!oimnthwhdcnhndainhorhc?t1dopseififeue6pecdanouhdaeonalecnMeiptlrga,piymrcgdhmdneaymedprmtawiietsgonnttsgenweaiianihenahsjuteisadnhesrgg2natodo,leg’aissggtvdlseshi8dys2luotseae,tctfiet.yheny0rmnaisfthodfhhwddeoIoefipnhroioanoe,ctarousueealdedocagtaend’isbrnnemsl,hisrcanhsmasusdhlgzeaeHoaepalpzhatnsoaaiabutw?seItoniovomowbvtnnttnt’Vetecrtgwheicie!edat/oWhottntoarAttisdanjhinegmiyvtmywcueimnIeradeoafestlDciesaeltlelrtuphle,,yerShs!oe.adotnaem,twfhasaniiotttdh EXECUTIVE DIRECTOR Ruth Mlay Happy Reading! DEPUTY EXECUTIVE DIRECTOR Amabilis Batamula HEAD OF MEDIA AND INNOVATION Tunu Yongolo SENIOR EDITOR Mark Wahome CONTRIBUTORS Sumaiya Karim Asha Maneno Constancia Mgimwa Richard Mabala Jane Nyandele Mary Mbago Geoffrey Machemba Joel Rushoke Msafiri Mwaikusa FOUNDER Minou Fuglesang COVER PHOTOGRAPHY K15 Photos LAYOUT DESIGN Daudi Daudi CARTOONS Babutau, Inc. DISTRIBUTION EAM Logistics Ltd. PRINTING Tanzania Printers Ltd. generous support of the Governments of Sweden (Sida) and Denmark (DANIDA). of Femina Hip and do not necessarily reflect the views of the sponsors.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 4 10/10/2022 11:36 COVERSTORY NAJIKUBALI, NAWALINDA WENGINE. BY: AMABILIS BATAMULA Alijua mapema kwamba maisha yake yatakuwa tofauti na ya watu wengine. Aliamua mapema kwamba yaliyomkuta utotoni hayatakuwa sura pekee ya kukumbukwa katika maisha yake. Alijipanga mapema, akaanza mapema, na sasa anajivunia uamuzi na hatua nyingi alizochukua. Anapoiangalia picha ya historia yake, hakutani na la kumkwaza roho. Hata yale yaliyompa hali aliyonayo hayamsumbui tena, lakini hataki yawakute wengine, suluba yake anaijua. “Haikuwa rahisi kufika hapa,” anasema John Msofu, kijana maarufu sana mjini Njombe, mcheshi, mtu wa watu. I ACCEPT, I PROTECT He was aware from the start that his life would be different from others. So, he decided that whatever happened to him as a child would not be the only aspect of his life that people would remember. He planned and started early, and he is now very proud of his decisions and accomplishments. When he looks into his past, he finds nothing that breaks his heart. Even the circumstances that led him to the situation he was in, no longer bother him. However, he does not want others to be in the same situation; he understands the pain. \"It wasn't easy getting here,\" says John Msofu, a charismatic, humorous young man well-known in Njombe. 2 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 5 10/10/2022 11:36 NGUMU KUSAHAU John, ambaye alikuwa akiishi na wazazi jana tu. Siku hiyo wazazi wake waliaga wake tangu alipozaliwa 1994, alijikuta dunia. akihamia kwa bibi yake mwaka 2004, huku walezi wake wakigeuka kuwa bibi “Baada ya hapo mimi na wadogo na mama mkubwa. Hii ilikuwa ni zangu tukachukuliwa na mama baada ya miaka kadhaa ya kuwauguza mkubwa, tukahamia kwa bibi mzaa wazazi wake. Walikuwa wanaumwa mama. ugonjwa ambao yeye mwenyewe hakuufahamu. Alichokijua ni kwamba Mwaka mmoja baadae nikaanza mama na baba yake walikuwa kuumwa sana. Niliugua hali ambayo wanaumwa, walihitaji kuhudumiwa haikuelezeka. Wakati huo nilikuwa kila kitu, na mara nyingi ikawa yeye nasoma shule ya msingi. Unyanyapaa ndiye wa kuwasafisha, kuwapa chakula ukaanza, nikaanza kuitwa majina, na na kuhakikisha wako katika hali nzuri. wengine wakaanza kunihesabia siku, Wakati mwingine walipata vidonda, walisema huyu ni wa kufa kesho.” akawasafisha. Wakati huo John hakujua kwamba wazazi wake “Siku moja akaja mjomba wangu walikuwa wakiishi na Virusi vya ambaye anahusika na mambo ya afya, UKIMWI. Siku moja ya mwezi Mei nikapelekwa zahanati ya Ikuna na mwaka 2004, ikafika siku ambayo John baadae Hospitali ya Kibena kwa anaikumbuka kama vile ni vipimo zaidi, hapo ndipo nikapimwa vizuri, ikaonekana nimeambukizwa Virusi vya UKIMWI.” HARD TO FORGET After living with his parents since his yesterday; the day his parents bid the birth in 1994, John found himself world goodbye. moving to his grandmother's house. His aunt and grandmother were his \"After that, my aunt took my new guardians. is happened after siblings and I to our grandmother's he had spent several years caring for house. A year later, I became very ill. his ailing parents, despite the fact It was severe; I can't express just how that he had no idea what was wrong severe it became. I was still in primary with them. What he did know was school at the time. Discrimination that mom and dad were sick and and name-calling began, with people needed assistance with everything. counting down my days and telling He was usually the one who cleaned me I would die the very next day.\" them up, fed them, and checked on them. He also nursed them when \"One day, my uncle, who worked in they developed open sores. the health sector, took me to Ikuna Health Center first. Following that, John was unaware that his parents we went to Kibena Hospital for were infected with HIV/AIDS at the additional tests. e tests revealed time. en came a day in May 2004, a that I was HIV/AIDS positive.\" day that John recalls as if it were 3OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 6 10/10/2022 11:36 COVERSTORY MSAADA WA HGEELTPTEIANRGLY MAPEMA It was by chance that John received Ilikuwa bahati kwamba John alipata usaidizi assistance early, and it was around this mapema; alipochaguliwa kwenda Shule ya time that he was selected to attend Sekondari Ikuna, mama yake mkubwa alitoa Ikuna Secondary School. His aunt taarifa ya hali yake, na hivyo akapata huduma informed them of his status, and he was za afya za kijamii alizostahili. Wakati huo pia able to receive much-needed health care. He was also receiving school alikuwa akipata mahitaji ya shule kutoka supplies from Agape, an orphan help kituo cha Agape ambacho kilikuwa center. kinawasaidia watoto yatima. In form one, he became curious about Akiwa kidato cha kwanza, anasema, alijenga his health status, so he began visiting shauku ya kutaka kufahamu zaidi juu ya hali yake. people who could provide answers, one Akaanza kutembelea watu mbalimbali alioamini of whom was Betty Liduke, a health specialist at the Tanganyika Wattle wanaweza kumpa majibu, miongoni mwao ni Company hospital, who assisted him in mama Betty Liduke, mtaalamu wa afya accepting himself, setting goals, and katika hospitali ya kampuni ya Miwati, planning ahead. He learned about the TANWAT, ambaye alimsaidia sana available support groups there. kujikubali na kuweka malengo ya kusogea mbele. Hapo akafahamu John joined Teen Clubs, a group for uwepo wa vikundi vya kusaidiana HIV/AIDS-positive youth, and there he na kutiana moyo. Akajiunga na helped those who had yet to accept Teen Clubs, vikundi vya watoto their positive status. is also made wenye maambukizi ya VVU, John stronger and more committed to akajua zaidi, akawasaidia taking his ARVs and living a healthier waliokuwa bado na ugumu wa lifestyle. kuikubali hali yao. Hatua hiyo il- imsadia yeye mwenyewe ku- simama vizuri zaidi, dawa za kufubaza makali ya VVU nazo zikamwongezea nguvu, afya yake ikakaa vizuri. 4 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 7 10/10/2022 11:36 MIAKA MINGI BAADAE MANY YEARS LATER Sasa hivi John ni baba wa watoto wawili, ambao wote John is now the father of two HIV-negative children. His hawana VVU. Rafiki yake wa kwanza, ambaye alipata naye first friend, with whom he had his first child, had HIV as mtoto wa kwanza, alikuwa akiishi na VVU pia, lakini well. But differences exist in life, and they were unable to katika maisha kuna kutofautiana, hawakuweza kuendelea continue their relationship. His current partner, with kuwa pamoja. Mwenza wake anayeishi naye sasa hana whom he has been dating since 2020 and who also VVU, wamekuwa pamoja tangu 2020 na ndiye mama wa happens to be the mother of his second child, is HIV mtoto wa pili. Inawezekanaje? Hili swali huulizwa na negative. Many people are completely baffled as to how wengi, tena kwa mshangao! this is possible. “Inawezekana,” anasema John. “Watu wanaoishi na VVU \"It's possible,\" says John. People living with HIV/AIDS have wana haki ya kupendwa na kupenda, wanatamani pia the right to love and be loved, and they, too, wish to start kuanzisha familia. Lakini pia tuna wajibu mkubwa wa families. However, we have a huge responsibility to kuwalinda ambao hawajaambukizwa wasipate VVU. protect those we love from infection. Education, sound Elimu, ushauri na nidhamu binafsi vinahitajika ili kulinda advice, and personal integrity are all important components wengine wasiambukizwe.” John anasema hii inaambatana of protecting others. According to John, this must be na mambo kadhaa. accompanied by a number of other factors. Kwanza ni kujiweka wazi. John anasema, “Nilipoanzisha “ e first thing is honesty. When Hilda and I became urafiki na Hilda, nilifanya kila linalowezekana tusifike friends, I did everything I could to keep the friendship kwenye hatua fulani kabla sijamwambia hali yangu. from going too far before I told her about my status. It Ilinichukua karibu mwaka mzima, nikitafuta mwanya took over a year for me to find the right moment to tell mzuri wa kumwambia. Nilipokuja kumwambia kumbe her.” hata yeye alikuwa anahisi, maana alikuwa amesikia maneno maneno na aliona nilivyokuwa nasubirisha \"By the time I told her, I realized she already had her mambo mengine.” suspicions. She had heard rumors and seen how I was taking things slowly.\" Na hapo linakuja suala la pili; mapenzi ya kweli. “Kama mtu anakupenda kweli atakuwa bega kwa bega na wewe, “ at brings us to the second point: true love. If someone mtapokea wote ushauri, masharti mtayazingatia pamoja, truly loves you, they will walk alongside you and counsel mawasiliano na mazungumzo yenu yanakuwa ya maele- you, and you will follow the rules together, so that even wano, hata mkipishana mnayamaliza tu. Hata nikiwa when you talk and communicate, you do so in agreement. safarini mwenzangu ananipigia simu, ananikumbusha If you disagree, you can still work it out. My partner calls kumeza dawa. to remind me to take my medication even when I'm on the road.” Jambo lingine ni kupata ushauri na kuuzingatia. “Kwa mfano, mimi ninatumia dawa za kufubaza VVU kwa “Another thing is to seek and follow expert advice. For muda mrefu sasa, na ninafuata masharti yake bila example, I've been using ARVs for a long time and always kukosea. Kwa sababu hiyo uwezo wangu wa kumwambukiza follow the instructions.\" As a result, my ability to infect mtu mwingine umepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Lakini others has significantly decreased. But that's not all; I also hiyo haitoshi, ni lazima kuchukua kila tahadhari ikiwa ni need to take precautions, such as wearing a condom. We pamoja na kutumia kondom. Tulipopata mtoto ilikuwa ni had our child only after seeking medical advice and baada ya kwenda pamoja na kupata ushauri na maelekezo instructions from our doctors.” ya mtaalam. e responsibility to protect others is significant. John Jambo la kuwalinda wengine ni muhimu sana. John insists that the only way your efforts to protect will be anasisitiza kwamba ili jitihada zako za kuwalinda wengine fruitful is if you closely follow the specialists' advice. ere zifanikiwe, ni lazima ufuatilie na kufuata ushauri wa is medication as well as counseling instructions. Take note wataalam. Kuna dawa halafu kuna maelekezo. Zingatia. of them. 5OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 8 10/10/2022 11:36 COVERSTORY SERVING OTHERS HUDUMA KWA WENGINE John's day begins with prayers, followed by personal cleaning. He then has his breakfast, followed by his Siku ya John huanza kwa sala na usafi binafsi, baada ya medication. He could either be going to town at the hapo ni kiamsha kinywa, halafu dawa. Akitoka nyumbani, Njombe Health Facility, which is right next to the old anaweza kuwa anaelekea Kituo cha Afya Njombe, bus stop, when he leaves home. He works as an katikati ya mji, jirani na stendi ya zamani, ambako ni HIV/AIDS educator and data clerk there. muelimishaji wa masuala ya VVU/UKIMWI na karani wa data. Kama haendi huko anaweza kuwa anaenda If he isn't going to the hospital, he could be going to Uwanja wa Sabasaba ziliko ofisi za KONGA, tawi la KONGA, the NACOPHA branch offices at Saba Saba NACOPHA - yaani mtandao wa watu wanaoishi na Grounds. He is the District Secretary of an HIV-positive VVU, ambapo yeye ni Katibu wa Wilaya. Anaweza pia people's network. He can also travel outside of the akawa anaenda mbali, nje ya mji au mkoa, kukusanya town or region to collect data from various assigned data kwenye vituo vya afya mbali mbali kulingana na health facilities. He has taken part in both small and alivyopangiwa. Ameshiriki kuifanya kazi hii kwenye large-scale programs of this nature, such as TUNAJALI, miradi mbalimbali midogo kwa mikubwa kama vile Boresha Afya, and Afya Yangu. TUNAJALI, Boresha Afya, na sasa Afya Yangu. ese are the things that make him incredibly happy. Zote hizi ni shughuli ambazo zinampa furaha kubwa. He says that joining Teen Clubs has helped him learn Anasema tangu alipojiunga na Teen Clubs, imekuwa ni more about himself and how to help others. \"If I had njia ya kujifunza zaidi juu ya maisha yake lakini the opportunity to further my studies, I would choose muhimu zaidi ni namna nzuri ya kuwahudumia to learn more about how to help people with wengine. “Hata nikipata fursa ya kuendelea kimasomo, HIV/AIDS.\" I wish everyone understood the significance nitapenda niongeze ujuzi katika eneo la kutoa huduma of using ARVs and the importance of preventing others kwa watu wenye VVU. Natamani kila mmoja afahamu from becoming infected. I have a secondary education umuhimu wa kutumia ARV vizuri, na azingatie and have taken a computer course, but the area that I umuhimu wa kuwalinda wengine wasiambukizwe. Nina am most passionate about and would like to advance elimu ya sekondari, pia nimesoma mambo ya computer, in is education. \"I genuinely love being a teacher.\" lakini kwa hakika eneo ninalopenda kujiendeleza ni hili hili la kutoa elimu kwa watu. Ninapenda sana uelimishaji.” “Hilda and I have opened a shop in town, she runs it. It’s great that we are all working, and I’m happy that Mimi na Hilda tumefungua duka hapo mjini, my partner and I help each other, and that she also mwenzangu ndio analiendesha. Ni vizuri ambavyo sote earns an income. ese are modern times, different tunafanya kazi, nafurahi mwenzangu pia anakuwa na from the past. We live a happy life.” kipato chake, na pia tunasaidiana. Hizi ni nyakati tofauti na zamani. Tunaishi kwa furaha. 6 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 9 10/10/2022 11:36 Hatariii! WASILIANA NA FEMINA Namba imeongezeka sana... Mwamba! Umeiona hii? WwwEwB.SfeImTiEnahip.or.tz AFSeN.Lm.UPinA2a0NH6I5ip,YDAarPeOs SSaTlaAam, Tanzania FFAemCiEnBa OHiOpK EinTMSfUkoEMAAFun@TLkeuShuIaumfELumekmwP0musaaau7anHkis5sSnakiawO3lMaatita0iahzaNkSn0litiiapE3ai,zkzm.e0swoonht0+raureul1.eots2n?lzijel5!edo5syathea20ok2l7ao2a5?uu73fi0m0k00aa37jpi04ew02n1adekezo T@WfemITinTaEhiRp I@NfSemTAinGahRipAM Y@OfeUmTinUahBiEp
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 10 10/10/2022 11:37 MY REGION NJOMBE Yetu NA VAILETH MWINUKA \"Unaijua Njombe? Wazawa wanapai-ta Pa Njombe wakimaanisha kijani! Kabla ya mwaka 2012, Njombe ilikuwa wilaya moja ndani ya Mkoa wa Iringa kabla ya kufanywa kuwa mkoa wa peke yake. Mkoa huu uko takriban kilomita 200 kusini mwa Iringa na kilomita 150 upande wa kaskazini-mashariki wa mkoa wa Mbeya. Karibu kwenye safari yetu mjionee uzuri wa mkoa Njombe.\" 1. Leo nataka wambia, tega sikio sikia, Kuhusu wetu mkoa, kwa kweli unavutia, Sifa kuwaelezea, sote tunajivunia, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 2. Sisi sote twasimama, sifa kuwaelezea, Na viazi tunalima, vya chipsi mnazojua, Kina baba kina mama, hutunza wetu mkoa, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 3. Mkoa wetu imara, hakuna asiyejua, Tunalima chai bora, na watu kuitumia, Zetu nzuri barabara, madereva furahia, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 8 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 11 10/10/2022 11:37 4. Umeme umeenea, mijini na vijijini, Maisha kuangazia, hapa kwetu mkoani, Kwa kweli twafurahia, na wageni karibuni, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 5. Kitulo fahari yetu, twajivunia kwa hili, Maua na wadudu wetu, nao ndege mbalimbali, Ndani ya Kitulo yetu, ni uzuri wa asili, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 6. Upendo twaudumisha, Njombe kuiendeleza, Amani kuimarisha, misingi yote tunaweza, Ugomvi kuusitisha, wana njombe tunaweza, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 7. Barabara zimejengwa, Njombe kupendezesha, Hospitali zajengwa, wagonjwa kuwawezesha, Sote twaenda kupangwa, sekta kuziimarisha, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 8. Waziri baba Kindamba, Njombe ameiwezesha, Miradi yetu ni bomba, mkoa kuung’arisha, Uchumi wetu sambamba, sote tunaudumisha, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 9. Mbao twazalisha nyingi, kipato kuingizia Zauzwa mikoa mingi, kote kote Tanzania Hapo uchumi wa wengi, ni juu tu hubakia Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 10. Ukija utayaona, Njombe tunayoyafanya, Parachichi ni kwa sana, mazao twayakusanya, Njaa sisi twaikana, biashara kuzifanya, Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 11. Samaki wa mito wengi, wapo na wa kubakia Mboga mboga ziko nyingi, ni tamu kupindukia Hayo na mengine mengi, lishe yetu huchangia Njoo uione Njombe, jinsi inavyovutia. 12. Imekua Njombe yetu, sisi tunajivunia, Njombe ya kwetu ni yetu, wageni kukaribia, Twadumisha mila zetu, uchafu kuukimbia, Nakukaribisha Njombe, hakika hutojutia. 9OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 12 10/10/2022 11:37 FEMA CLUB NA: GEOFREY MACHEMBA Ebwana eeeh! Kadri jua linavyochomoza na kuzama, ndivyo wanaFema wanavyozidi kufanya maajabu na kutiririka kwa kasi ya 5G! Uzuri ni kwamba hawakubali kuachwa nyuma hata hatua moja. Ni noma sana! Hivi karibuni nikiwa mtandaoni bwana, nikakutana na mambo makubwa yaliyofanywa na wanaFema! Hebu tupate japo machache hapa. Taarifa imekupita? Kaidake kwa ubao! Club ya Fema Kwedizinga wakajisemea wenyewe “shida ya nini wakati uwezo na nguvu ya kuhakikisha wanafunzi na walimu wanapata taarifa kirahisi tunao?” Sasa basi, wao wakatengeneza ubao safiiii wa matangazo. Shule nzima ikapata kamseleleko, maana ubao huo umesheheni taarifa ambazo ni muhimu kwa walimu na wanafunzi shuleni hapo. Ubao ndio huo na mambo ni safi! Kwacha kwacha kwacha…... Ebwana! Wadau wanasema hatulazi damu. Club ya Fema Kilosa, bila kusita wameendesha baiskeli kutoka shuleni hadi kituo cha afya Kimamba ili kujifunza kuhusu VVU na UKIMWI. Huko wakapewa nondo juu ya jinsi unavyosambazwa na jinsi ya kujikinga. VIJANA WAMEAMUA! 10 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 13 10/10/2022 11:37 Mwavijua viriba? Kama wavijua viriba basi sawa, kama huvijui, karibu ujionee kutoka kwa Kwagunda Yetu Fema Club, Tanga. Mara baada ya shule kufunguliwa, Kwagunda Yetu Fema Club wakaja na njia kabambe ya kutunza mazingira. Wakaanza kwa kujaza viriba kisha kupandikiza miche ya miti kwenye viriba na sasa kazi ya kutunza miti yao imeanza! Ama kweli maji hufuata mkondo! Baada ya kupata ujuzi na maarifa kutoka katika jarida la Fema, vijana kutoka Club ya Fema Mkula wakaamua kuanzisha jarida lao la Mkula Sekondari lenye kuzungumzia maisha ya wanafunzi wa shule hiyo. Jarida hilo limesheheni vitu kemkem. Hii ni pamoja na masomo yao, hali ya walimu, malengo yao kama wanafunzi kwa pamoja na michango ya watu na sekta mbali mbali katika maendeleo yao ya kielimu. Tuishike mkono elimu yetu Kamwe hatutasita kuisaidia serikali yetu, na kuboresha zana za kufundishia. Club ya Fema Mkangale wameonesha mfano kwa wanafunzi wengine kwa kutengeneza zana za kujifunzia kama mchoro wa mfumo wa ndani wa binadamu ili kusaidia walimu katika ufundishaji wao. Kiranja anatuita tukahesabiwe. Shuleni huwa kuna kengele ya kuhesabu namba ili kujua wachelewaji, na nchi huwa zina sensa kujua namba ya wananchi wake na namna gani inaweza kupangilia mipango ya nchi na maendeleo ya wananchi wote kwa ujumla. Shule nazo ziliisikia kengele hiyo mwezi Agosti, shule zikafungwa na watu wakaenda kuhesabiwa. Hebu watazame Ng’hundi Fema Club walivyolipokea. 11OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 14 10/10/2022 11:37 FEMA CLUB Baaasi basi! Msivunjike miguu! Wakati Club zote za Fema kila pande ya Tanzania zinazidi kufikiwa na jarida la Fema, Club ya Fema ya Magufuli inafurahi kuwa mmoja wa wanufaika wetu, na kutuonesha hilo, wametupia picha kali wakiruka haswaa. Hata wewe uliye nje ya shule unaweza kuwa mmoja wa wafaidika kwa kutembelea mitandao yetu ya kijamii pamoja na tovuti kupata taarifa na elimu burudishi yote inayotolewa na Femina Hip. Tukutane mtandaoni. Hedhi kwa kila mtu Jamani eee…! Tufungue masikio na tuwasikilize kwa makini Nkololo Fema Club. Wao wanasema hivi, “kila mtu ana haki na wajibu wa kujua elimu ya afya ya uzazi, ikiwemo hedhi, huu sio tena wakati wa kuziba masikio kwani changamoto za hedhi hazimuathiri msichana tu bali mvulana pia. Wasichana na wanawake wanapokosa mazingira salama shuleni au maeneo ya kazi, husababisha matokeo duni ambayo huathiri maendeleo ya nchi kwa ujumla. Hivyo basi ni vyema jinsi zote mbili kujifunza ili kutengeneza mazingira salama kwa jinsi ya kike kwa maendeleo ya nchi nzima”. Madini haya yalitolewa na wanaClub wa Fema Nkololo wakisaidiana na mwalimu wa baiolojia, kwa wanafunzi wenzao. Akiba haimtupi mtu Ama kweli tunza akiba na akiba itakutunza, vijana wa klabu ya Fema Murad Saddiq walianza kutunza akiba taratibu taratibu na sasa akiba hiyo imeweza kuwazalishia biashara ya pipi za chocolate ambayo inawasaidia kuingiza kipato zaidi kwa ajili ya shughuli zao za klabu. 12 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 15 10/10/2022 11:37 Vuta nikuvute, Igwamanoni vs Kisuke Fema Club ni dili! Waswahili wanasema mcheza kwao hutuzwa, au sio? Baada Likizo ndio hiyo imeisha, tunajua mmepumzika ya kazi nzuri kujipongeza muhimu. Igwamanoni na Kisuke vyema. Karibuni tena! Fema Clubs wakaona baada ya kazi nzuri kwenye Club zao ni vizuri wapimane nguvu kwenye michezo. Hiyo ilikuwa Wakati wa likizo bwana Igwaseco Fema Club tarehe 24 mwezi wa sita baada ya wanaClub wa Fema katika wakaamua wafanye tour yao matata ya shule hizo kupata matunda ya miradi yao. Wakaandaa kutembelea Fema Clubbers walio hitimu shuleni kongamano la michezo pale Shule ya Sekondari Kisuke kwao miaka ya nyuma ili waweze kuona namna lenye kauli mbiu ya “Kijana Jitambue” gani Fema Club imewakomboa na kuweza kujikwamua kiuchumi. Walitumia fursa hii Siku hiyo, Mkuu wa Shule, mwalimu Zakaria Ngussa, kujifunza kutoka kwao ili waweze kufikia alishiriki na kuifanya shughuli inoge zaidi. Waswahili wanasema malengo yao. Mguu mosi, mguu pili, hadi kwa kula kujigaragaza, sasa ndugu zetu hawa, walicheza na mwenyekiti wa Fema Club 2017-2018. Walipofi- kujigaragaza haswa! WanaFema walishiriki katika michezo ka walijionea mengi ikiwemo bustani ya nyanya kama vile mpira wa miguu na netiboli. Ukiachana na na mboga mboga. Katika tour yao waliambatana kucheza wanafunzi walishiriki katika mdahalo wenye mada na walimu wengine ambao si walezi wa Fema “Utoaji mimba usiruhusiwe nchini Tanzania.” Kama unavyojua Club ambao kwa hakika walimpongeza sana. Big mada ilipamba moto na moto ukavuma, lakini mwisho wa up Mwenyekiti! Big up Igwaseco Fema Club! mjadala huo vijana walijifunza mambo kibao kuhusu afya ya uzazi, athari za utoaji mimba na pia haki na wajibu wa watoto na vijana. Ngoma inogile! 13OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 16 10/10/2022 11:37 FEMINA FAMILY FESTIVAL Kimewaka tena! NA GEOFFREY MACHEMBA Oyaa… yani unaambiwa ukisikia mnuso ujue kimeshawaka huko! Ndani ya familia ya Femina Hip ni mwendo wa shangwe kila siku, huku mambo ni pambe. Sasa kama kawaida yetu, hapa tunaangalia vifijo na nderemo ndani ya familia ya Fema Clubs. Kaa mkao wa kula, kama sinia ndio linaingia tena kwa madaha yote. Siku ya mtoto wa Afrika. Wapi pa kujivunia kuishi kama sio Afrika? Jitihada zinazofanywa na watoto na vijana mashujaa wa kiafrika ni za kusisimua na kupasua anga. Mimi sitaki kuongea mengi, ngoja nikupelekeni tarehe 16 Juni 2022, siku ambayo Klabu ya Fema Nyakasaluma, Klabu ya Masumbwe na shule za msingi Mkapa na Kasandalala walikutana na kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika. Picha linaanza maazimisho yalihudhuriwa na Mh Lau Misalu, Afisa maendeleo ya wilaya ya Mbogwe. Bila kusahau, wanaklabu walipata nondo nzito kutoka kwa Inspector Sarafina Chamulonde, mkuu wa “Dawati la Jinsia” juu ya namna ambavyo mtoto wa Kiafrika anaweza kujilinda. Kama kawa, kazi na dawa, maigizo, insha na mziki vilifata watu wakaburudika na kufurahi. 14 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 17 10/10/2022 11:37 Kimbiza, kimbiza. Kimbiza mwenge! “Kanyaga kanyaga kwenye udongo japo kuwa tumechoka tunausongo… X2”, wimbo maarufu sana kwenye mbio za kusheherekea mwenge wa uhuru Tanzania. Mwaka huu 17 Juni, mbio hizo ziligonga hodi Ganana Sekondari huko Manyara na kuhudhuriwa na kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Sahil Nyanzabala Geraluma. Basi bwana, kama kawaida yao wanachama wa Fema Club hawanaga kazi mbovu. Arise Fema Club hawakuwa nyuma, kwa utundu na vipaji vyao waliupokea mwenge sio tu kwa mikono miwili lakini pia kwa kwaya kali sana inayowakumbusha wananchi kwenda kuhesabiwa ili kuchochea maendeleo ya nchi nzima. Unaambiwa mambo yalikuwa ni fire moto, chini hakukaliki, ni mwendo wa kufurahia mwenge wa uhuru. Tanga iweza! Mbio,,,,,mbio,,,,mbio hadi mwenge ukawasili Tanga. Katika viwanja vya Hale mkoani Tanga ilikuwa ni vifijo, nderemo, furaha na amani. Mwisho wa Shamba Fema Club walishiriki kikamilifu katika mapokezi ya mwenge huo wakiwa na timu ya vijana kutoka makao makuu Dar es salaam. Viongozi mbalimbali walifika katika banda la Fema Club na kupata mafunzo juu ya “Ukatili wa kijinsia” na wana Fema Club wenyewe. Kama mnavojionea kwenye picha, mambo yalipendeza kwelikweli. Term ikaisha kibabe! 15OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE Hivi unakumbuka ule mzuka unapata kipindi unamaliza muhula shuleni? Aiseee mambo yanakuwaga moto. Sasa klabu ya Fema Bukoli hawakutaka shangwe ziishie tu kwao, wakaona isiwe shida, na hivi wana mapato ya miradi yao! Wakaona isiwe choyo, wakaalika shule ya sekondari Nyaruyeye, na kufanya kongamano kabambe lenye lengo la kutumia elimu burudishi kupambana dhidi ya mimba za utotoni. Mara pap! Mwalimu mkuu wa Bukoli sekondari Ndugu Ng’wilabuzu Daudi, akatia timu kama mgeni rasmi na kufungua kongamano. Unaambiwa hivi, watu waliimba, wakacheza na kucheka, lakini mwisho wa siku vijana wakasepa, wakiwa na elimu ya athari za mimba za utotoni namna wanavoweza kupambana na tatizo la mimba za utotoni.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 18 10/10/2022 11:37 CHEZA SALAMA M UKWELI KUHUSU Ku UKIMWI na wa NA: JANE NYANDELE kw Mkuu wa Shule: “Hamjambo!” Ku Wanafunzi: “Hatujambo shikamoo mwalimu!” na Mkuu wa Shule: “Wanafunzi, tumekusanyika Ku hapa ili kupata taarifa muhimu sana.” Ko Baadhi ya wanafunzi (wakinong’onezana): Ku m “Hawa sio watu wa ushauri nasaha kweli?” Mkuu wa Shule: “Mada husika ni VVU/UKIMWI, karibu K mshauri, unaweza kuanza.” Hi Mshauri: “Hamjambo wanafunzi? “VVU vinasambazwaje?” m Mimi na mwenzangu tuna furaha ye kubwa ya kuwa hapa leo ili tuweze VVU vinaweza kusambazwa kwa njia ya kuongea nanyi kuhusu masuala ya aina tatu za majimaji ya mwili: damu, Ku VVU/UKIMWI na kuwapa ushauri juu majimaji ya sehemu za siri (yaani shahawa ali ya suala hilo. Naona, ni vyema kama na majimaji ya ukeni), na maziwa ya VV tutaanza na maana ya maneno haya”. mama. Ili kusambaza VVU, haya majimaji ho lazima yaguse damu moja kwa moja VVU (Virusi vya UKIMWI) ni virusi kupitia ngozi iliyochanika au sehemu za M vinavyoshambulia na kuangamiza seli mwili ambazo hazijafunikwa na ngozi ya hai za kinga ya mwili ziitwazo CD4. kawaida, mfano, ndani ya mdomo, ndani VV Kinga ya mwili ni mfumo wa mwili ya uke, kwenye tundu la uume na kwenye m kusaidia kupambana na maambukizi njia ya haja kubwa. na na magonjwa. VVU havisambazwi kwa kushikana VVU vikishambulia kinga ya mwili, mikono, kukumbatiana au kugusana kwa inafanya aliyeambukizwa kushambuliwa kawaida na mtu mwenye maambukizi. kirahisi sana na magonjwa mbalimbali. Haiwezekani kusambazwa kwa kushea Maambukizi ya VVU yasipodhibitiwa vikombe au sahani na mtu mwenye sawasawa, huendelea na kufikia hatua maambukizi. VVU vinaweza kusambazwa ya UKIMWI (Upungufu wa Kinga kwa njia hizi tu: Mwilini). 16 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 19 10/10/2022 11:37 majimaji ya ukeni. Takribani asilimia 90 ya watoto walioambukizwa vichanga waliambukizwa kwa njia hii. Maziwa ya mama Mwisho, VVU huweza kusambazwa kupitia kunyonyesha. Maziwa ya mama, hasa hasa ya mama aliyeambukizwa na hatumii ARV, huwa na chembechembe za VVU, mtoto akinyonya na virusi navyo huingia mwilini mwake kupitia njia ya mfumo wa chakula. Majimaji ya sehemu za siri Hatua za maambukizi ya VVU ni zipi na Kugusana majimaji ya sehemu za siri ndio njia kubwa zaidi ya dalili zake zikoje? namna VVU vinavyosambazwa, na kwa kawaida hutokea wakati wa kufanya ngono bila kinga na mtu mwenye maambukizi Maambukizi ya VVU yana hatua kuu tatu. kwa kugusa shahawa au majimaji ya ukeni. Hatua ya 1: Maambukizi makali Kufanya ngono bila kinga ni tabia hatarishi zaidi, kwasababu inatoa nafasi kwa majimaji ya sehemu za siri na michubuko kukutana. Hii hutokea ndani ya wiki nne baada ya kuambukizwa. Katika Kufanya mapenzi kwa mdomo pia kunaweza kusambaza VVU. hatua hii, mtu aliyeambukizwa huwa anaweza kuambukiza wengine kwa urahisi sana. Dalili za hatua hii ya kwanza ni kama Kondom inapotumika huzuia VVU kukutana na mwili. mafua hivi, homa, maumivu ya misuli na viungo, maumivu ya Kumeza ARV hupunguza wingi wa virusi kwenye mwili. Haya koo, kuharisha na kichefuchefu. Hata hivyo, wapo watu ambao mawili hupunguza sana hatari ya maambukizi ya VVU. hawapati dalili zozote katika hatua hii ya maambukizi. Kupitia damu yenye maambukizi Hatua ya 2: Maambukizi ya kuselea Hii ni njia ya pili ya usambazaji wa VVU. Mara nyingi hutokea Hii pia inajulikana kama hatua isiyo na dalili na ni hatua ya mtu anapotumia sindano, nyembe, na mabomba ya sindano maambukizi ya VVU inayofuata baada ya hatua ya maambukizi yenye matone ya damu kutoka kwa mtu aliyeambukizwa. makali. Katika hatua hii mtu aliyeambukizwa huwa haoneshi dalili yoyote, lakini anaweza kusambaza VVU. Iwapo mtu huyu Kushirikiana vitu kama vile miswaki na hereni na mtu hatotumia dawa za VVU, hatua ya 2 inaweza kudumu kwa aliyeambukizwa kunaweza pia kusambaza VVU. miaka 3 mpaka 10 au zaidi. Mwishoni mwa kipindi hiki, kiwango VVU pia vinaweza kusambazwa kupitia kuongezewa damu cha VVU kwenye damu huongezeka, na CD4 hupungua idadi hospitalini, IKIWA mtu ataongezewa damu yenye VVU. sana. Mtu huyo anaweza kuanza kuonyesha dalili za UKIMWI, na kuingia kwenye hatua ya tatu ya maambukizi. Maambukizi ya mama-kwa-mtoto 17OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE VVU vinaweza kusambazwa pia kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua, ikiwa mama ameambukizwa VVU na mtoto anayezaliwa akagusana na damu ya mama na
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 20 10/10/2022 11:37 CHEZA SALAMA Hatua ya 3: UKIMWI UtmafwaannyaafnaminiiliiakiawnaanyeyiusmhibnaaniVkVuUn?a Hii ni awamu mbaya zaidi ya maambukizi ya VVU, na hutokea pale tu ambapo mtu Mimi nitakuwa nampa moyo asijisikie anayeishi na VVU hatumii dawa yoyote ya tiba ya ARV. Mtu anabainika kuwa na mnyonge kwasababu ya hali yake na pia UKIMWI pale ambapo kipimo chake cha CD4 kimeshuka chini ya 200. Dalili za nitakuwa namkumbusha kunywa dawa na kawaida za UKIMWI ni pamoja na homa za mara kwa mara na kukohoa, kuharisha, kula mlo kamili ili awe na afya. uchovu, kupungua uzito, vipele na vivimbe, na vitone vyeupe, na vidonda mdomoni na kwenye ulimi. Ikiwa hatopata matibabu, mtu mwenye UKIMWI hukaa miaka Felister Danford Luvanda – takriban mitatu, kisha hufa. (Usililo Secondary School) Mshauri: “Nani yuko katika hatari zaidi ya kuambukizwa VVU?” Nitamshauri ajiamini, ajikubali na kamwe • Watu wanaofanya ngono bila kutumia kinga asikate tamaa. • Watu wanaofanya ngono bila kutumia kinga na wapenzi wengi • Wanaofanya biashara ya ngono Rahabu Bwazu Lugenge – • Wanaume wanaoshiriki ngono na wanaume (Kidegembye Secondary School) • Watu wanaojidunga madawa ya kulevya kwa sindano Kwanza, nitamjengea ujasiri. Nikisha fanya “Nani anapaswa kupima VVU?” hivyo itamsaidia katika uwajibikaji wa Inashauriwa kwamba mtu yeyote mwenye umri kati ya miaka 13-64 apimwe kama kunywa dawa. Pia sio kumwambia tu, bali ana VVU walau mara moja. Ukijua mapema zaidi hali yako ya maambukizi ya VVU ni kumfuatilia na muda mwingine kumletea vizuri zaidi, kwasababu unaweza kuanza tiba ya VVU mapema. dawa pale alipoziweka na kumpa anywe. “Unawezaje kuzuia maambukizi ya VVU?” Albert Isack Kinyunyu – • Pima na kujua hali yako juu ya VVU (Kidegembye Secondary School) • Acha ngono zembe • Tumia kondom kila wakati wa kujamiiana; kwa usahihi na kwa kila tendo • Punguza idadi ya wapenzi • Pima na tibu magonjwa ya ngono • Ongea na mtoa huduma ya afya juu ya PrEP na PEP mara inapohitajika • Tohara ya wanaume; inapunguza hatari ya mwanaume kupata maambukizi ya VVU kwa asilimia 50-60 kwasababu inaondoa ngozi ambayo hushambuliwa kirahisi na virusi. Nataka mkumbuke: Mara zote kumbuka kwamba VVU haviwezi kusambazwa kwa kushikana mikono wala kukumbatiana au kugusana tu na mtu aliyeambukizwa. Kwa hiyo, tuwachukulie watu wanaoishi na VVU/UKIMWI kwa upendo, ukarimu na huruma! CHUKUA HATUA Mara mnaporudi madarasani, tengeneza picha kubwa kwa ajili ya darasa, ukionesha jinsi mlivyokubaliana kujilinda dhidi ya maambukizi ya VVU. Weka michoro, picha, na rangi mbalimbali kuifanya iendane. Kisha, kila mtu awajibike kwa mwenzake katika kutekeleza mliyokubaliana! 18 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 21 10/10/2022 11:37 THE TRUTH ABOUT HIV BY: JANE NYANDELE Headmaster: “Good morning everyone!” trauma. Oral sex may also transmit HIV. HIV infection. e infected person does not Students: “Good morning sir!” Risks for transmitting HIV through sexual show any symptoms, but can still transmit Headmaster: “Students, we are all activity drops when using condoms to HIV. Without taking HIV medication, stage 2 gathered here to receive some very physically block the virus and taking ARVs HIV may last between 3 to 10 years or important information.” to reduce the amount of virus in the body. longer. At the end of this phase, the amount of HIV in the blood increases, and CD4 cell Some students (whispering): count decreases sharply. An infected person \"Aren't these counselors?\" Exposure to infected blood Headmaster: “Our topic today, will be may then start developing AIDS symptoms, HIV/AIDS, and the counsellor will now Exposure to infected blood is the second and moves to stage 3 of the infection. begin.” most common route of HIV transmission. is most commonly occurs when using Counsellor: “Are you fine students? My needles, shavers, razor blades, and syringes Stage 3: AIDS partner and I are very happy to be here that have droplets of blood from an infected is is the most severe phase of an HIV today so we can talk to you about HIV/AIDS person. Also sharing some of everyday infection, and occurs only when an HIV-in- issues and give you advice on the issue. I see, objects such as toothbrushes and earrings fected person does not take any HIV it would be better if we start with the with an infected person may also transmit medication. A person is considered to have meaning of these words.” the virus. HIV can also be transmitted AIDS when their CD4 cell count is less than through medical blood transfusions IF a 200. e common symptoms of AIDS HIV (Human Immunodeficiency Virus) is a person receives HIV-infected blood. include recurring fever and coughs, chronic virus that attacks and kills the CD4 cells of diarrhea, persistent and unexplained fatigue a the immune system. e immune system is Mother-to-child transmission and weakness, weight loss, skin rashes and bumps, persistent white spots and unusual the body’s defense that helps fight infections HIV can also be transmitted from mother to lesions in the mouth and tongue. Without and diseases. When HIV attacks cells of the immune system, it makes the infected child during delivery, when the newborn treatment, a person with AIDS typically person more vulnerable to other infections child is exposed to an HIV-infected mother’s survives about 3 years, then dies. and diseases. When HIV infection is not blood and vaginal fluids. Around 90% of managed properly, it progresses to AIDS newborns with HIV got it this way. “Who is at high risk of getting infected with HIV?” (Acquired Immune Deficiency Syndrome). • People engaging in unprotected sexual behavior Breastmilk • People engaging in unprotected sexual “How is HIV transmitted?” Lastly, HIV can be transmitted through behavior with multiple partners HIV can be transmitted through contact breastfeeding. Breastmilk, especially of an • Commercial sex workers with three types of body fluids; blood, untreated HIV-positive mother, contains • Men who have sex with men sexual/genital fluids (i.e., semen and vaginal HIV particles, and when a baby ingests the • People who inject drugs fluids), and breastmilk. In order to transmit milk, the virus may enter its body through HIV, these fluids must have to come into the digestive tract. “Who should be tested for HIV?” direct contact with blood via broken skin or It is recommended that everyone between parts of the body that are not covered by “What are the stages of HIV infection and the ages of 13-64 be tested for HIV at least normal skin such as inside the mouth, in the what are the symptoms?” once. e earlier you know your HIV status vagina, the opening of the penis and the the better, since you can start HIV rectum. HIV cannot be transmitted through A HIV infection has three main stages. treatment early. handshakes or hugs or physical contact with an infected person. It cannot be transmitted Stage 1: Acute HIV infection “How can you prevent getting infected with by sharing cups, plates of food with infected HIV?” persons. HIV can only be transmitted Occurs within four weeks after infection. At • Get tested and know your HIV status through the following ways: this stage, an infected person is very • Avoid risky sexual behaviors contagious/infectious and can transmit the • Use condoms every time you have sex; infection at a high rate. e symptoms of correctly and consistently. Sexual fluids stage 1 infection include flu-like symptoms, • Limit your number of sexual partners Sexual fluid contact is the most common fever, muscle ache and joint pain, sore • Get tested and treated for other route of HIV transmission, and commonly throat, diarrhea and nausea. Some people Sexually Transmitted Infections happens when having unprotected sex with however, may not experience any symptoms • Talk to your healthcare provider about an infected person and contacting semen or at all in this stage of the infection. PrEP and PEP once needed. vaginal fluid. • Male circumcision: It reduces a man’s risk for acquiring HIV infection by 50% - Unprotected sex is the highest risk sexual Stage 2: Chronic HIV infection 60% because circumcision removes behavior, because there’s exposure of sexual is is also known as the asymptomatic tissue in the foreskin that is particularly fluids and a significant level of physical stage of HIV infection that follows the acute vulnerable to the virus. 19OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 22 10/10/2022 11:37 ARV ARTICLE TUZIDADAVUE ARVs! NA JANE NYANDELE Enhee, ni nini hizo? Ni hivi, kifupisho cha ARV kinamaanisha Anti-Retro-Viral. Antiretroviral drugs ni dawa zinazotumika kutibu na kuzuia maambukizi ya VVU. Zinafanya kazi kwa kuzuia au kuchelewesha kuzaliana kwa virusi ndani ya mwili. Watu walioambukizwa VVU kwa kawaida humeza kidonge kimoja hadi vinne kwa siku, hata hivyo, sio kwamba watu wote wenye VVU wanatumia za kufanana. Mchanganyiko tofauti wa dawa hizi unafanya kazi kitofauti kwa watu tofauti, na kwa maana hiyo basi, dawa ambazo mtu anatumia zinakuwa ni mahususi kwa ajili yake. Ushawahi kuwasikia wale ambao dawa zake zikiisha anaomba kwa mwenzake wagawane? Hiyo sio sawa, kila mtu ana dozi yake kwa kuzingatia vigezo tofauti tofauti. Zinafanyaje kazi? Pata picha; ndani ya miili yetu kuna seli ziitwazo seli nyeupe za damu. Pia huitwa CD4 T. Seli hizi zinafanya kazi kama jeshi; kupambana na maambukizi ndani ya miili yetu. Zinatulinda. Sasa, VVU vinasababisha upungufu wa hizi seli. Kadiri idadi yake inavyopungua ndivyo na uwezo wa mwili kupambana na magonjwa unavyopungua, na kuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa. Ni muhimu kuelewa kwamba ARV hazitibu VVU/UKIMWI, ila zinazuia virusi kuzaliana ndani ya mwili. Hii inawezesha mfumo wa kinga ya mwili kujirekebisha na kuzuia uharibifu zaidi, na kwa hiyo kuzuia hatari ya maambukizi nyemelezi. Zipo ARV ambazo zinafanya kazi kwa kuliongezea nguvu jeshi la seli nyeupe za damu, na zipo ambazo zinadhoofisha virusi kwa kuvizuia kuzaliana na kutoa nafasi nzuri zaidi kwa seli nyeupe za damu kupambana. ARV zinafaa sana kupunguza wingi wa VVU kwenye mwili wa mtu aliyeambukizwa. Dawa hizi kwa hakika zimewasaidia watu walioambukizwa kuishi maisha marefu ya afya. 20 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 23 10/10/2022 11:37 Unameza muda gani? Tumetoka mbali sana; tangu siku ambazo hatukuwa na tiba za VVU. Leo hii, ARV zinaweza kupunguza na hata kusimamisha kabisa kukua na kuzaliana kwa virusi, bila kujali ni kwa muda gani mtu ameishi na VVU. Hata hivyo, dawa zinafanya kazi pale tu unapozitumia kwa usahihi. ARV zinafanya kazi kwa kupunguza mzigo wa virusi, yaani idadi ya VVU mwilini. Ili jambo hilo lifanikiwe ni lazima ARV zimezwe kwa usahihi, kila siku, kama inavyoelekezwa na daktari. Hii ni pamoja na kumeza dawa katika muda sahihi na kwa kiwango sahihi, na pia kula mlo sahihi na kamili. Hiki ni muhimu sana kwenye mafanikio ya tiba yoyote ya VVU. Ukiruka au kukosa dawa hizi, hata kidogo tu, utakuwa unatoa nafasi kwa VVU kuzaliana haraka. Hii inaweza kudhoofisha mfumo wa kinga. Hii pia inaongeza uwezo wako wa kuwaambukiza wengine. Watu wenye VVU wanaweza kuishi maisha yenye afya na kwa muda mrefu, kwa kumeza ARV, kula mlo kamili na sahihi, na pia kufuata ushauri wa watoa huduma za afya. Hapo wanajilinda na kuwalinda wengine dhidi ya maambukizi. FAHAMU Twende kwenye PrEP NA PEP! ZAIDI Ushawahi kuzisikia hizi? Usijali, maelezo yake haya hapa, yananyooka hadi hapo ulipo. PrEP (Pre-exposure prophylaxis) ni dawa inayotumiwa na mtu asiye na VVU lakini yuko katika hatari ya maambukizi kama njia ya kuzuia kupata maambukizi, mfano mtu anayefanya ngono na mwanamke au mwanaume mwenye VVU, (mfano mwenza mwenye VVU), watu wenye wapenzi wengi (kama wanaojihusisha na biashara ya ngono), au watu wanaojidunga madawa ya kulevya. Mtu akiwa kwenye hatari ya kupata VVU kwa ngono au kujidunga madawa ya kulevya, hizi dawa zinaweza kufanya kazi ya kuzuia virusi visiendelee hadi kufikia maambukizi. Ili dawa hizi zifanye kazi, inapaswa mlengwa azimeze kila siku, na lazima atumie kondomu kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono. PEP (Post-exposure prophylaxis) inamaanisha matumizi ya dawa za ARV kwa mtu ambaye hana maambukizi ya VVU lakini amepata uhatarishi wa VVU kutoka kwa mtu mwenye VVU kupitia majimaji, damu au maziwa. Ili iwe na matokeo yanayofaa, PEP lazima ianze kutumiwa mapema iwezekanavyo – kwa kawaida ndani ya masaa 72 tangu tukio hatarishi – na iendelee kutumika siyo chini ya wiki 4. Kumbuka! 21OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE Mtu mwenye VVU anaweza kuishi maisha marefu ya afya kwa kupima na kutumia ARV, hivyo kujilinda yeye na wengine dhidi ya hatari ya maambukizi.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 24 10/10/2022 11:37 PHOTOSTORY 22 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 25 10/10/2022 11:37 23OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 26 10/10/2022 11:38 PHOTOSTORY 24 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 27 10/10/2022 11:38 25OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 28 10/10/2022 11:38 ZAIDI YA STORI Hebu waza! NA FEMA TEAM Yaani, hebu waza! Je, ingekuwaje kama mtihani ambao Kuna pande mbili za kila shilingi Ndikwege aliufeli ungekuwa siyo wa kumalizia muhula, bali ni mtihani wa taifa? Hiyo ingekuwa na athari gani kwenye Ili shule iwe sehemu salama kwa watu wanaoishi na VVU ni ndoto zake na malengo yake? Hebu waza! Je, ingekuwaje kazi yetu na kazi ya wale wanaoishi na VVU kufanya mambo baada ya kutengwa na kunyanyapaliwa kote ambako ya lazima. Ndikwege alipitia baada ya wanafunzi wenzie kujua hali yake, kama mama yake asingempa ushirikiano wala Kwa wale ambao hawana maambukizi ya VVU, hatupaswi kumfariji kwa maneno ya hekima? Angeweza kuwa tayari kuwanyanyapaa na kuwatenga wale wanaoishi na VVU. kuendelea na shule, au angeishia kuacha shule tu, au hata Badala yake, tuwe wakarimu na tuwasaidie ili shule, mbaya zaidi, kuwa na mawazo ya ...? Hiyo nimekuachia majumbani, na jamii kwa ujumla, pawe mahali salama. wewe umalizie mwenyewe! Na je?, Hebu waza; Ingekuwaje Na kwa wale wanaoishi na maambukizi ya VVU, tunao kama mamlaka za shule zingejua hali ilivyo, wangewaza wajibu wa kujulisha uongozi wa shule, na pia watu kutumia mfumo jumuishi wanaoutumia kwa shule nzima? wanaotuzunguka, kuhusiana na hali zetu ili watupe msaada. Ni muhimu kuweza kupata na kuendelea kutumia dawa Hebu tukae kwanza na kujadili! tulizoandikiwa na kutembelea vituo vya afya, ili kujilinda, na ✱ Wewe ungekuwa Ndikwege, ungeweza kuwaambia kuwalinda wale wanaotuzunguka. marafiki zako kuhusu hali yako? ✱ Kama wewe ungekuwa Atupelye, ungefanyaje? La muhimu ni hili hapa! ✱ Je, jamii (shule, familia, ndugu na marafiki) waambiwe juu ya hali aliyonayo mtu kuhusiana na Hii ni kwetu sote, kama rafiki, wanafamilia, mwanafunzi VVU/ UKIMWI? au yeyote yule anakwambia kuwa anaishi na VVU, ni jukumu letu wote kuwa msaada. Sote tuwe chanzo cha Tunajua kuwa haya ni maswali magumu lakini ni ya mabadiliko tunayotaka kuyaona! muhimu, kwasababu yanatusaidia kuanzisha mazungumzo yanayohitajika ili kuondoa kabisa unyanyapaa kwa watu wanaoishi na VVU. Sisi kama wana Fema Club tulio kwenye familia, shule na jamii ambako kuna watu wanapata changamoto kutokana na kuishi na VVU, mabadiliko lazima yaanze na SISI. 26 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 29 10/10/2022 11:38 FEATURE ARTICLE MUULIZE MZAZI; JE, AMESIKIA? Ukifika nyumbani, baada ya shikamoo na yale mambo wa mbele kuhudhuria mikutano na hata kuongea na mtoto mengine ambayo huwa unayafanya ukifika nyumbani, sogea juu ya maendeleo yake wanapokuwa nyumbani. karibu na mama, na baba, mjomba, shangazi au yule mtu Sio jambo gumu. Tafuta nafasi nzuri uufikishe ujumbe huu. ambaye anasimama kama mzazi kwako. Mpe habari hizi Walimu, mpoo? Hapa mnasemaje? Hili ni lenu pia. Nafasi njema; mwambie hivi, “shuleni kuna mambo mazuri, yenu na nafasi ya wazazi katika kumlea, kumwendeleza na naomba usiache kufuatilia maendeleo yangu, naomba kumlinda mtoto kwa pamoja ni kubwa. Mwongozo ukiitwa kwenye vikao usiache kwenda, ni muhimu.” unasema huu ni ushirikiano, au sio jamani? Teamwork ifanye kazi, vijana wafikie malengo. Mpelekee hii asome, afahamu kwamba; watoto ambao wazazi wao wanafuatilia maendeleo yao shuleni wana 27OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE uwezekano mkubwa wa kubaki shule na kufanya vizuri kimasomo. Hii inamaanisha utoro unapungua au kukoma. Inamaanisha mzazi anakuwa na taarifa za mtoto wake kwa uendelevu, na anaweza kumsaidia inavyopaswa, iwe ni katika kumpatia mahitaji, kumwelekeza anapokwama na hata kumpongeza anapofanya vizuri. Msisitize mzazi aone na hapa; kwamba kuna mwongozo uliotengenezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, ambao unatoa mwanga wa namna gani ushirikiano kati ya walimu na wazazi unaweza kufanyika. Mwongozo huo unaoitwa kwa Kiingereza Guidelines for Parent Teacher Partnership (mwongozo wa ushirikiano kati ya wazazi na walimu), unalenga kuimarisha hatua za ulinzi kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari kwa kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia. Hiyo ni pamoja na kukufanya wewe mwanafunzi kujisikia salama na kwamba unalindwa unapokuwa katika mazingira ya shule, jambo ambalo litaboresha unachokifanya shuleni pamoja na matokeo yake. Lakini pia, mwambie mzazi, au mlezi, kwamba mwongozo huu unalenga kuboresha mawasiliano na uhusiano kati ya walimu na wazazi kwa ajili ya usalama wa wanafunzi, hilo ni moja. Lingine ni kuongeza hali ya jamii kujisikia kwamba wao pia ni sehemu ya shule, na wana wajibu wa kutekeleza. Ndiyo! Ili watoto wao wafanikiwe. Kumwachia mwalimu kila kitu si sahihi. Mwongozo unatoa nafasi kwa wazazi kuwa sehemu ya ushirika huu kupitia wawakilishi, lakini pia kwa kuwa mstari
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 30 10/10/2022 11:38 RUKA JUU JINSI HAPANA ILIVYOKUJA KUWA NDIYO! NA TUNU YONGOLO “Nikupatie nini mama?” Niliuliza. “Sihitaji chochote mwanangu. Usijali, nitakuwa salama tu, .” Mama alitetemeka. Alikuwa anachemka. Joto lake lilikuwa juu sana kiasi kwamba niliweza kulihisi hata juu ya taulo la baridi nililojaribu kumpooza nalo. Ingebidi niwe nimeshazoea haya kwa sasa; hii hali mama mara yuko sawa, mara hayuko sawa, halafu sawa tena. Unajua, ugonjwa wake ulikuwa ukija kwa mawimbi, na sio kitu kimoja kwa wakati, na ilikuwa wakati huu wa vipindi virefu vya afya njema ambapo ilikuwa ngumu kuacha kufikiri nini napaswa kufanya ili mama awe vizuri. Lakini sasa, maumivu haya shingoni mwake, hii homa, maumivu haya ya misuli, kichefuchefu na kuumwa kichwa, vilikuwa vimerudi tena na kwa mara nyingine, vilinikumbusha ni nini kinapaswa kufanyika. Vilinikumbusha Mahenge. NDIYO! Nilikutana na Mahenge miezi michache iliyopita, na kila kitu alichokisema siku ile, kilionekana kuwa kitamu sana. Ilikuwa ni siku nzuri sana, Jumanne mchana ambapo shule yetu, Nziku Sekondari, ilikuwa inacheza mechi ya mpira wa miguu dhidi ya Shule ya Sekondari Mwenda. Mpira wa miguu kwa wasichana ulikuwa ndiyo mchezo niupendao hasa! Ilikuwa wakati wa siku hizo za mazoezi ya mpira, nilipojua ni namna gani hizo zilikuwa nyakati za kufaa sana. Bila kujali kama tunashinda au kushindwa, mchezo ulituleta pamoja na kutufanya tuone tunavyoungwa mkono na kusaidiwa. Hayo ndiyo yalikuwa ya msingi. Baada ya kuwa mimi ndio nilifunga magoli mengi zaidi, nilisimama pembeni na kutabasamu huku kila mtu akija na kunipongeza. Mahenge, kocha msaidizi akaja pia, akanishika mkono akiuminya kuliko ilivyokuwa kawaida. “Nimependezwa sana” akaniambia. “Umecheza vizuri sana. Nenda kajinunulie zawadi.” Mahenge akanipatia noti ya shilingi elfu kumi, na sikumbuki mara ya mwisho ni lini niliishika hela kama hiyo mkononi mwangu. Nilijisikia vizuri kuishika, na badala ya kukimbilia kwa muuza lambalamba, au duka la nguo, nilikimbia moja kwa moja hadi duka la dawa la karibu, nikamnunulia mama dawa alizokuwa anazihitaji sana. Nikajipa moyo, nitamwambia mama dawa zimetoka kwa Mama Mgina. Nilipofika nyumbani, sikuweza kujizuia ila kuwaza alivyosema Mahenge kabla sijaondoka, “zipo nyingi ilipotoka hiyo”, alisisitiza. “Na ya kufanya ili kuipata ni mepesi tu.” 28
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 31 10/10/2022 11:38 Unawkeaztiakjea kmuasihsihnadma avgisuhmawu?ishi HAPANA! Nitaweza kufanya hivyo kwa kujiwekea malengo na kusoma kwa bidii. Pia nitajiepusha Nilikuwa naogopa, na kwa kiasi fulani nafsi yangu haikutaka kuwa pale. na marafiki ambao wanaweza kuniweka katika Lakini nilizihitaji pesa zake, kwa hiyo sikuwa na chaguo jingine bali kuwa mazingira ya kupata vishawishi. pale. “Ah Malila! Nimefurahi sana kwamba umeamua kuja! Karibu ndani,” Reyson Laban Kyando – alisema, halafu akaniharakisha niingine kwenye nyumba yake ya chumba (Usililo Secondary School) kimoja. Hapakuwa na kwingine pa kuketi isipokuwa kitandani, kwa hiyo kwa shingo upande, nikaketi kitandani. Ni kwa kuwa jasiri, kujiamini na kuwa na “Jiachie tu.” Alisema baada ya kuona jinsi nilivyokuwa na hofu. msimamo katika maamuzi licha ya maisha “Kila kitu kitakuwa murua kabisa!” magumu. Na pia, kujishughulisha na shughuli “Tutumie kinga”, nilisema haraka, nikijaribu kuwahi baada ya kuona za kiuchumi ili kuweza kujipatia kipato. ameanza kujisogeza. “Kinga?!” aliuliza kwa sauti yake iliyokauka, “kwanini tufanye hivyo?” Gasper Wilson – “Ni muhimu tulindane dhidi ya mimba zisizotarajiwa pamoja na (Kidegembye Secondary School) magonjwa,” nilimwambia kwa sauti ya nguvu na yenye kusadikisha. “Magonjwa?” aliuliza. “Unamaanisha kwamba nina maambukizi?” Ninavyoweza kushinda ni kwa kuwa jasiri na “Mtu hawezi kujua!” nilisema. “Lini mara ya mwisho kwako kupima kujiamini. Kwa mfano, mtu akinishawishi maambukizi ya VVU au magonjwa mengine ya ngono?” kufanya kitu kibaya naweza kukataa kwasababu ninajiamini. Pia nitakuwa na msimamo na malengo yangu. Six Mwadunda Mwagula – (Kidegembye Secondary School) 29OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 32 10/10/2022 11:38 Paaaaaaaaaa! Likashuka kofi hata sikujua limetokea wapi, nikakaa nimeduwaa kwamba Mahenge amenipiga! “Nyamaza mtoto. Hujui unaongea na nani?” Nikamuangalia, machozi yakinilenga, na shavu langu kuugulia kwa maumivu. “Nilichokuwa ninamaanisha ni...” “Ulikuwa unamaanisha nini? Ulikuwa unamaanisha nini? Unadhani unaweza kuniambia cha kufanya wakati mimi ni mkubwa kuliko wewe?” “Ni muhimu kuhakikisha tunakuwa salama,” nilisema, zamu hii kwa kigugumizi, nguvu kwenye sauti yangu ikiwa imeondoka. “Mimi ni mdogo na wewe...” “Basi toka nje!” alipayuka. “Na hakuna hela zaidi kwa ajili yako! Nenda, usirudi mpaka utakapotambua unachokihitaji.” Nikatoka fasta, na sikurudi nyuma, hapo nikifurahi kwamba nimejitetea vilivyo na nikihuzunika kwamba zamu hii hakukuwa na pesa. Hii ilimaanisha hakukuwa na dawa kwa ajili ya mama, kama ilivyokuwa jana. Hapana, nilijiambia kwa ukali. Hapana! Sitakuja kufanya hivi, niliwaza. Sitakuja kufanya mapenzi bila kondomu! LABDA! Nilimsikia mama anakohoa kuanzia nje ya banda na kuhisi moyo wangu ukijawa na simanzi ndani mwangu. Labda ningefanya tu, labda afya yangu si kitu. “Malila mwanangu,” mama aliita nilipoingia, “nisaidie na maji kidogo tafadhali.” Niliinua kidogo kichwa cha mama na kumsaidia kunywa maji. Alikohoa na maji yote yakatoka mdomoni. Nikajaribu tena kumnywesha kwa mara nyingine. “Kuna uwezekano Mama Mgina amekupa baadhi ya dawa alizokupatia jana?” mama akauliza, sura yake ikitafuta tumaini na faraja. CHUKUA “Oh mama! Nimetoka shuleni kwa haraka mpaka nikasahau kuzipitia, ngoja nirudi nikazichukue...” nilimdanganya. HATUA Kumbuka Fikiri kwamba wewe ni Malila, na umejikuta kwenye mtanziko huu. Ni muhimu kuhakikisha Jadili kwenye Clubs zenu, ni nini ungeweza kufanya, na kwa njia ipi kwamba tunakuwa salama. nyingine ungeweza kumsaidia mama yako. Je, vijana wanaweza kudai ngono salama hata wanapokuwa katika hali ngumu ya kiuchumi? Kwa namna gani? 30 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 33 10/10/2022 11:38 HOW NO NO! BECAME YES! I was scared, and a part of me didn’t want to be here. But I “What can I get you mother?” I asked. needed his money, so I had no choice but to be there. “Nothing my child. I will be well.” “Ah Malila! I’m so glad you decided to come! Come inside,” he said, then he ushered me into his one-roomed house. ere Mother shivered. She was boiling. Her temperature was so was nowhere to sit except on the bed, so reluctantly, I sat myself high that I could still feel her skin burning beneath the cold down on it. towel that I tried to cool her down with. I should have been used to this by now; the on and off, then on again. You see, “Relax.” He said, seeing how tense I was. “It’s all going to be great!” her sickness often came in waves, rather than simply one “Let’s use protection, I quickly said, trying to get ahead as thing at a time, and it was in those long stretches of health, soon as I noticed him already starting to get all over me”. that I would hardly ever stop to think about what I needed to do, to get my mother well. But now, this pain in her neck, this “Protection?!” he asked, his voice loud and hoarse, “why would fever, these muscle aches, nausea, and headache, they had we do that?” now come back again and once more, they reminded me of what needed to be done. “It is important that we protect each other from unwanted pregnancies and diseases,” I said to him, my voice strong and ey reminded me of Mahenge. with conviction. YES! “Diseases?” he asked. “Are you saying I am infected?” I had met Mahenge a few months ago, and everything that he “One can never know!” I said! “When was the last time you got had said that day, had sounded so sweet. It had been a great tested for HIV or any other STIs?” day, a Tuesday afternoon where our school, Nziku Secondary School, was playing a football tournament against Mwenda Paaaaaaaaaaaaa! Went a slap I didn’t even see coming, and I sat Secondary School. Girls’ football was my favorite sport! It was there dumbfounded that Mahenge had just hit me! during those days of football training, that I realized what golden moments they were. Win or lose, it was about being “Shut up little girl. Don’t you know who you are speaking to?” together and feeling supported. at's what mattered. I looked up at him, tears stinging my eyes, and my cheek burning After having scored the most goals, I stood by the side, and with pain. smiled as everyone came to congratulate me. Mahenge, the deputy coach came too, and shook my hand a little tighter “All I just meant was that ….” than what was normal. “What did you mean? What did you mean? You think you can “I’m very impressed,” he said to me. “You played very well. Go tell me what to do when I am older than you?” buy yourself a present.” “It’s important to ensure we are safe,” I said, this time Mahenge handed me a ten-thousand-shilling note, and I stammering, the conviction having left my voice. “I’m young and couldn’t remember the last time I had held one in my hand. you are…” Holding it felt so good, and rather than dash straight to the ice cream shop, or the clothes store, I ran to the nearest pharmacy, “ en get out!” he shouted! “And no money for you! Go and and bought my mom her much needed medicine. only come back when you know what you need.” I would then tell her that they were from Mama Mgina. I immediately left, and didn’t look back, both happy that I had stood up for myself and sad that this time there would be no When I got home, I couldn’t help but think of what Mahenge money. is meant that there would be no medicine for mama, had said before I left, “there’s so much where that came from,” like there was yesterday. No, I told myself sternly. No! I wasn’t he had emphasized. “And all that you need to do for it is going to do this, I thought to myself. I wasn’t going to have sex simple.” without a condom! I knew what he had meant. He had meant sex, and I knew what MAYBE! a sacrifice it would need to be. But mom was very sick, and we had no money, so yes, I was going to have to do what needed to I could hear mama coughing even from outside the hut and be done. could feel my heart sink deep within my chest. Maybe I just should have gone ahead with it, maybe my health didn’t matter. “Malila my daughter,” mama called out when I walked in, “help me with some water please”. I held my mother’s head up, as I helped her drink the water. She coughed and splattered it all out, then once again tried to take another drink. “Any chance Mama Mgina gave you some of the meds she gave you yesterday?” mother asked, her face seeking some form of hope and comfort. “Oh mama! I left school in such a hurry that I forgot to pass by and collect them, let me go back and take them…” I lied. 31OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 34 10/10/2022 11:38 LIFESKILLS FANYA MAJADILIANO Anna na Mmachinga CHANYA! Anna: Machungwa shing ngapi? Mmachinga: Moja mia tatu, fungu elfu moja. NA: Richard Mabala Anna: Bei haipungui? Mmachinga: Kwani wewe una shing ngapi? Anna: Nina mia tano tu. Naomba mawili. Mmachinga: Sawa. Ntakuuzia kwa leo tu. Mary na rafikiye Rafiki: Mambo Mary! Tunaenda kutembea bustanini MRMRMaaaafiarfirkyrkyyi:i:::N:JUNuSTJiinunimotsgmaaaraefwomamapkenmeeaozynhaosMadeiskahhiabu!ikriuTvfiyu!ayrw.NjneoaHe,yjlhonnaaataodakkatt!ieanaahzt!miauiNswizaktiantaaakawfituotaneorjizwuaknahaaag, iknek!sawiiwknteuaiazmwknaaoybkzwiauinnojugaytim!neu!emeN.tboi aknai!. John: SJhikoamhoonbabna, ashikawmooamzamaa.zNiingewpendaa kkujieunga nMJMJoayMoaahahtamanimnmnm:a:iaNu,Nanninyakaniaawkoabimabfvaaboaiupzbambuliaburarb:aai:maM.:sHSatipaaatnpiiwfahraaa,aadn?n.nh!aaTiKa!ujnlMweiti,saaamtaknusnuocitnajhama,iwe?.ho!zNeaHoyztaaaaanblkiakmnoafuauajlnedoiuziuamutmpaynueasugoonhuhnmdimameapa!znuoasianzthaauaiivltndiaygtiloeaikzcnpuuhailn?ei?kgzoau…mmzcnaha.ejzeo, . 32 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 35 10/10/2022 11:38 LIFESKILLS Hakika wote tumeshawahi kuwa katika hali ambayo unataka • Kataa! Kwa sauti na uthabiti. kitu, kama vile kununua kitu lakini huna hela za kutosha, au • Chelewesha jibu! Kwa muda mrefu uwezavyo. kutoka na rafiki zako badala ya kujisomea, au hata kucheza • Badilisha stori! mchezo fulani, lakini wazazi wako hawataki, kwa hiyo Mfano huu siyo kwa wasichana tu, ni kwa wavulana pia! Kama ukapaswa kujadiliana nao! Je, uliweza kuwashawishi? Ulitumia unasukumwa sana, na mtu anatumia mbinu zisizo sawa mbinu gani? Ulichopaswa kutambua na kutilia maanani ni kwako na kama ukikubali mara moja, utakuwa umempa kibali kwamba wazazi wana hofu zao, kwa sababu wewe bado cha kukulazimisha tena na tena. Unaweza kufikiri kwamba mdogo na kuna matukio mengi yanayoweza kutokea n.k. kumkubalia ndiyo njia ya kumtunza mtu unayempenda, lakini Lakini, mahitaji yako bado yana uhalali pia. Hofu zao sio feki ni hakika kama anakukandamiza namna hii, huyo hakupendi. za ukweli, kwa hiyo siyo vyema kuchukulia kama vile hazipo. Kama ukitambua na kutilia maanani hofu na shauku zao, Kama msukumo ni wa upole, unaweza kataa - kiheshima. watakuwa wepesi kukidhi matakwa yako. Na zaidi, inasaidia Hakuna haja ya kukasirika na kuanza kumshambulia hata kuwaonesha umekua na unaelewa, kwa kuwasaidia wazazi kama umekasirishwa na msukumo wake. Watu hawapendi kazi za nyumbani (na siyo tu siku moja kabla ya kuwaomba kukataliwa vibaya, na kwa hili, wanaweza kukufuatilia, kitu ha ha!) kukutukana, au hata kukufanyia ukatili wa kijinsia ili kuonesha ‘umwamba’ wao. Sasa basi, haya huitwa majadiliano chanya. Lakini kuna upande wa pili wa shilingi pia. Kwa mfano, umeshawahi kuwa Kama umevurugwa, au hujui nini cha kufanya, tumia mbinu katika hali ambayo unajikuta unafanya kitu ambacho ya pili: chelewesha. Unaweza kusema hujisikii vizuri, au zaidi, hukutaka, na unajiuliza, “Kha! Hivi nimefika fikaje hapa?”. muulize “haraka ya nini? Nipe muda wa siku kadhaa nifikirie.” Inawezekana uliweza kujinasua kutoka kwenye hali kama hiyo. Akizidi, mrudishie mpira yeye. “Kama kweli unanipenda Uliwezaje kufanikisha hilo? Ingefaa sana kusikia kutoka kwako, unaweza kusubiri nami niwe tayari”. Hii huwa ni mbinu nzuri na wengine waweze kujifunza pia! sana kwa kuwa inakupa muda wa kuomba ushauri kwa watu unaowaamini. Kwa njia hii, unapoonana naye tena, unajua Ukweli ni kwamba, wapo watu wengi tu wanaofanikiwa nini useme na umeshaamua nini cha kufanya. Hii pia kutushawishi kufanya mambo tusingependa kufanya. inakuwezesha kuwa thabiti na jibu lako. Na unaweza kuamua Wanajinufaisha kupitia kuwaamini kwetu, au hisia zetu kwao, uongee naye mkiwa wapi, mahali ambapo hatakutishia au na wanatuweka mtu kati tunaishia kufanya mambo ya kujaribu kukulazimisha. Hii itakuandaa vizuri kukabiliana na kutupelekea kujuta na kujilaumu. Ni muhimu kutumia vichwa mwitikio wake. vyetu. Fikiri haraka. Fikiri namna ya kuchomoka kwenye mitego hiyo. Mshawishi anayekurubuni ufanye kitu usichotaka Njia nyingine ni kujaribu kumfanya aongelee jambo lingine. kufanya. Tumia uwezo wako wa kujadili. Badilisha stori. Mwambie namna ulivyo makini na shule na jinsi ulivyopangilia maisha yako. Mwambie ndoto zako na Sasa, hapa kuna kubwa kuliko. Tuseme kwa mfano, wewe ni malengo yako. Hata hivyo, tunaona njia hii ni mipaka ya muda msichana, na rafiki yako wa kiume amekubana kwenye kona. mfupi tu kwani hakika lazima atarudi kwenye stori ya anachokitaka. Kwa hiyo, wewe JITAMBUE na TAMBUA “Kama unanipenda utafanya mapenzi na mimi.” Anakwambia. unachokitaka. Kwa lolote ufanyalo, usikubali kumridhisha tu! Anakulazimisha, na pengine hata kukutishia. Usikubali ili Jadili kwa manufaa yako! kumridhisha tu! Kila la kheri! Hapa kuna mambo kadhaa unaweza kufanya. 33OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 36 10/10/2022 11:38 NEWS BULLETIN Ubaguzi? miongoni au wanaonekana Ubaguzi ni kitendo cha Chukua hatua: Kuwa wa Malengo 95-95-95 kuwatofautisha watu kwanza kupinga unyanyapaa kutokana na makundi, na ubaguzi wa aina yoyote! Unakumbuka malengo ya 90-90-90? Tuliyaelezea kwenye News Bulletin ya Fema matabaka, au kategoria kuwa ni miongoni. 61? Kama umeyasoma, vema sana! Kama bado, fanya ukajionee! zingine ambazo wao ni Sasa, tumepiga hatua na tunafukuzia malengo ya 95-95-95 ifikapo 2030. Sasa basi, Tanzania inahitaji ikaze buti ili kuyafikia malengo hayo. Kivipi? Ni mwendo Yaani ifikapo mwaka 2030: wa kujisevia! * Asilimia 95 ya watu wote Hivi?! Unayo habari kwamba sasa hivi kila mtu anaweza wanaoishi na VVU wawe kujipima mwenyewe Virusi vya UKIMWI? wamefahamu hali yao ya VVU. Basi bwana! Wala sio mimi niliyesema! Januari 3 mwaka * Tiba ya kupunguza makali ya 2020 mkoani Katavi, Waziri Ummy akiwa Waziri wa Afya VVU (ART) iwe imetolewa kwa najleitmanagkauzwaahBaubnagrei nlajemmwaeyzai wkauw11a;li“mNeappiteinshdaaskhuewriaa,pkawhaahbiyaori asilimia 95 ya wote wanaoishi na VVU. sasa ni rasmi Tanzania mtu kujipima maambukizi ya VVU mwenyewe, kwahiyo hivi vitendanishi (vifaa) vitakuwa * Kufikia kiwango cha kufubazwa vinauzwa kwenye maduka, pia kugawa bure baadhi ya kwa VVU miongoni mwa 95% ya wale maeneo kwasababu wakati mwingine watu wanaona unyanyapaa kwenda kupima wenyewe.” wanaotumia dawa za kufubaza makali ya VVU. Haya sasa! Mwambie na mwenzio, tupime! Je, kwa nafasi yako, wewe utachangiaje katika hili? Knock Knock! Tujikumbushe fasili! Have you checked out our Cover Story? In it, you'll Unyanyapaa? learn about John Msofu, who wanted to know more after discovering he was HIV-positive. As a Unyanyapaa ni mtazamo au mawazo hasi result, he went to organizations that helped people kuhusu sifa ya kiakili, kimwili, au kijamii ya living with HIV. mtu au kikundi cha watu kilichohusisha kutokubaliana na jamii. Do you have a loved one, relative, or friend who is HIV positive and would like to learn more Ukweli wote upo about how you can help them? Well! You can get kwenye Takwimu! more information by knocking on the doors of the following HIV/AIDS organizations: Wengi hupinga ukweli kwamba UKIMWI bado ni tatizo. Mwe! Takwimu hazidanganyi. Hizi hapa ndo takwimu za maambukizi ya VVU kwa mwaka jana: NACOPHA (National Council of People Living with HIV in Tanzania) Summary sheet (Source: Tanzania Spectrum file Estimates 2021) Website: www.nacopha.or.tz | Email: [email protected] | Phone number: +255 (0) 22 261 8518 NACOPHA has offices at Mwaka 2021 2021 2021 2021 Council level, known as KONGA. Idadi TACAIDS (Tanzania Commission for AIDS) 1,727,931 54,122 28,997 Asilimia 4.45 Website: www.tacaids.go.tz | Email: [email protected] | Idadi kamili Phone number: 026 2190600 Makadirio ya Maambikizi Vifo vitokanavyo Kuenea NACP (National Aids Control Programme) watu wanaoishi mapya na Ukimwi kwa VVU Website: nacp.go.tz | Email: [email protected] | na maambukizi Phone number: +255 (0) 262060148 ya VVU (umri (umri wote) UNAIDS Website: www.unaids.org | Email: [email protected] wote) e HIV Justice Network Website: www.hivjustice.net Vijana (miaka 15-24) 34 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE Mwaka 2021 2021 2021 2021 Idadi 175,981 (WWaMasviicauhklaaann1aa517-1,,9192685,) 2,612 Asilimia 1.47 Idadi kamili Miaka 20-24 Makadirio ya Vifo vitokanavyo Kuenea watu wanaoishi (Wavulana 3,808, na Ukimwi kwa VVU na maambukizi Wasichana 8,768) ya VVU mMapayaamybauVkiVziU
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 37 10/10/2022 11:38 Miaka 20 ya Fema Clubs! Unaamini hiyo? * Kuwa sehemu ya mabadiliko katika jamii zao * Kujiandaa kuwa kizazi chenye tija zaidi kwa Sisi hatuwezi! familia, jamii na Taifa. Hatuwezi kuamini ni miaka 20 ya Fema Clubs! Lakini ni kweli! Ndiyo! Mwaka huu, Femina Hip inasherehekea miaka * Kulinda na kujenga maisha yao 20 ya Fema Clubs Tanzania! Na pia wakati wakiwa kwenye Clubs zao wanapata Femina Hip ilianza kujenga Fema Clubs mwaka 2002, na fursa kama vile: kwa wakati huo, kulikuwa na Clubs tano tu. Lakini, hivi unajua kwamba mpaka 2022 kuna: * Kushiriki kwenye Youth Conference ya Femina Hip * 2,323 Fema Clubs zilizosajiliwa ambayo hufanyika kila mwaka jijini Dar es Salaam * Mitandao 65 ya Fema Clubs * Idadi ya clubs kwenye mitandao ni 2,275 * Kupata vyeti wanapohitimu * Wastani wa idadi ya Clubs kwa kila mtandao ni 35 * Kazi zao kuchapishwa kwenye jarida la Fema * Kujitolea kupitia timu ya Femina Hip Kuwa ndani ya Fema Club kumeonesha matokeo mazuri na makubwa mno. Fema Clubs zinawawezesha vijana Lakini si hayo tu! Fema Clubs zimekua sana! kujifunza stadi za maisha kama vile kufanyakazi kwa Mwaka 2016 Walimu Walezi wa Club za Fema walianzisha pamoja, kujitolea, uongozi, fikra tunduizi, kujiamini, na Mtandao wao kwa kujiratibu na kuchukua hatua ambazo uhamasishaji. Fema Clubs zinawaundia utambulisho, tunu zimekuwa chachu kubwa katika kujenga ushirikiano, kuu, mitazamo ya kuyachambua yanayowazunguka na kuimarisha malezi ya vijana na kuongeza ufanisi katika yanayotokea ulimwenguni, na fursa ya kutoa kwa jamii utendaji wa Fema Clubs. zinazowazunguka kisha kukumbatia fikra za mabadiliko na kukua. Hivyo Fema Clubbers wanapata nafasi ya; Tusherehekee pamoja * #kMmiKjiaeaamnkmtaimoia2,ar0CnbwylauaaeubnFnesg,uumotbua,an-iaCrpgiuleouecsbnkhtsiuo!kwocwTinhmueaotnbuntyoemie,mikdekiaalumemnraosbcsihjo,aaemgzknceawyhnteauei dmzyzohaaoakjwmmauaiisatrktauaaunyamidgajauaibzooaimsy,habae tuliyokuandalia! 35OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 38 10/10/2022 11:38 STORI YANGU NURU GIZANI NA SUMAIYA KARIM Najua ipo siku... Mwajuma Mussa Njuki ndilo jina langu, nilizaliwa Arusha, lakini stori yangu inaanzia Chamazi, Dar es Salaam, kwa baba mdogo, mke wake, na wanae. Tangu utotoni, nilikuwa mtoto ninayependa kwenda shule. Hata hivyo, haikuwa safari nyepesi kwangu. Kila siku baada ya shule, mimi na binamu yangu tulitembea saa nzima kukusanya kuni, halafu saa lingine la kuchota maji ili bibi atupikie. Ilikuwa inaumiza na kuchosha ile mbaya, lakini hakukuwa na namna nyingine. Kwa miaka kadhaa, mpaka namaliza shule ya msingi, hii ndiyo ilikuwa staili ya maisha. Baba mdogo akaniandikisha shule huku Dar es Salaam, ambako nikaanza elimu ya sekondari. Kila kitu kilikuwa kinaenda murua mpaka pale biashara ya bamdogo ilipoanza kubuma. Ilibidi nikae nyumbani kidogo kwa kuwa hatukuwa na ada ya shule. Mwishowe, nilihitimu, lakini kwa sababu ya kiwango hafifu cha ufaulu, sikuweza kuendelea na elimu ya A-level, kwa hiyo ikabidi niende chuo kwa ajili ya elimu ya cheti. 36 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 39 10/10/2022 11:38 SHILINGI ELFU MBILI Mamdogo alikuwa akinipa shilingi elfu mbili kwa siku kama hela ya kujikimu baada ya kuuza sambusa alfajiri, lakini kama biashara isipoenda vizuri, mweee nilikuwa nabaki nyumbani. Hata hivyo, haikukidhi mahitaji yangu yote ya masomo, pamoja na usafiri, maji, chakula, fotokopi, kalamu, madaftari n.k. Nakumbuka nilibidi kuchagua kati ya mahitaji muhimu zaidi. Baada ya kupita muda, nikawa nimeshazoea kula usiku tu nikirudi nyumbani, kwasababu ya kujipanga kuhusu usafiri, kuprint na fotokopi, bila kutaja mahitaji mengine kama mwanamke. Kwa kawaida, nikawa ndiye mtu wa ajabu kwenye kundi letu, lakini marafiki zangu walinisaidia mara nyingine kulipia gharama za steshenari, kushiriki nami chakula, na vitu kama hivyo. Ilikuwa aibu. Kila usiku nilimlilia Mungu. MIAKA MIWILI Huo ndio ulikuwa mfumo wangu wa maisha kati ya 2018 na 2020. Bamdogo aliweza kulipa ada muhula wa kwanza, na ndiyo ilikuwa ya msingi. Sikufikiria kingine zaidi ya kustahimili na kusoma kwa bidii. Inasikitisha, maisha hayako sawa. Kwenye muhula wa pili, anko wangu hakuweza kulipa ada. Hii ilimhuzunisha sana, lakini aliahidi kufanya kila atakaloweza ili kulipa ada. Baada ya kuahidi chuo kwamba nitalipa deni langu baada ya matokeo kutoka waliniruhusu kufanya mitihani ya mwisho. Mwaka wa masomo ukaisha, ikawa muda wa mwaka mwingine kuanza; lakini je, nimefaulu kwenda muhula unaofuata? Baada ya masaa ya kuomba matokeo yangu na kuandika barua ambayo ilibidi kupitishwa ngazi mbalimbali, nikapokea kwa sentensi moja tu, “umefaulu”, bila kuainisha matokeo kwa kila somo. Nikabubujikwa na machozi na kumshukuru Mungu. Kumaliza cheti cha chuo ndiyo jambo lililokuwa la msingi; sikujali ainisho la matokeo. 37OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 40 10/10/2022 11:38 STORI YANGU TW M SURA MPYA all bu “Mwajuma, kuna rafiki anatafuta mwanamke wa kumsaidia kazi Simamia unaloliamini, it dukani kwake. Nawaza kwamba unaweza kwenda wakati mimi usifanye vitu kwa sababu ta naendelea kuhangaikia ada yako. Najua kazi hiyo itakuchangamsha Na zaidi.” Bamdogo alisema usiku mmoja wakati tunaongea. tu kila mtu anafanya, fri chagua marafiki zako kwa wi “Sina shida; anashughulika na nini?” nilijawa na shauku. ev hekima, na muhimu “Anauza spea,” alijibu. zaidi, SALI. FO Ni nadra sana kumuona mwanamke akifanya kazi katika duka la se spea. Ila nilikuwa nimedhamiria kwa dhati kutengeneza kipato th kihalali kuliko kukimbilia njia zingine. Nilitumia juma moja kuelewa pe bei za bidhaa na aina zake kwa nambari. Haikuwa rahisi lakini Sa nilifanya yote niliyoweza; nilitumia pia msaada nilioupata kutoka In kwa bosi pamoja na watu wengine kwenye maduka ya jirani. po cle Licha ya shida nilizonazo, nimeridhika, na nina uhakika, ipo siku m ntarejea shuleni na kukamilisha masomo yangu. Sijafika ukomo wa to safari yangu. Nitagangamala. Nitafanikiwa. fol wr A LIGHT IN re THE DARK no Go BY SUMAIYA KARIM I know the day will come... Mwajuma Mussi Njuki is my name, and I was born in Arusha, but my story begins in Chamazi, Dar es Salaam, with my baba mdogo, his wife, and their children. Since I was a child, I had always enjoyed going to school. However, it has not always been an easy road for me. Every day after school, my cousin and I had to walk for an hour to collect firewood, then another hour to fetch water for our grandmother to cook for us. It was exhausting and agonizing, but there was no other choice. For many years, until I finished primary school, this was my life. My baba mdogo enrolled me in a school in Dar es Salaam, where I began my secondary education. Everything was going swiftly until my baba mdogo's business started to shake. I had to stay home for some time because we couldn't afford my school fees. Finally, I graduated, but because of my low grades, I was unable to continue on to advanced level secondary education, so I had to attend college for a certificate 38 level education.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 41 10/10/2022 11:38 TWO THOUSAND SHILLINGS started to worry about school fees, but I knew baba mdogo My mama mdogo used to give me 2,000 shillings per day as an would pay. Life was playing its cruel game allowance after she had sold samosas early in the morning, but if on me once again. business was slow that day, I would stay at home. Unfortunately, My friends blamed me for not paying the university fees a week it wasn’t enough for all my school necessities including transpor- before the opening day, saying I was too smart to just sit around tation, water, food, photocopy, pens, notebooks etc. selling ubuyu and waiting for my baba mdogo. “Look at how Naturally, I was the odd one out in our study group, but my beautiful you are, you should up your game!\" \"If I were you, I friends at times helped me pay for stationery, sharing their food would own a Range Rover,\" I recall my friends telling me. At with me, and such. It was embarrassing. I cried to God almost night, I kept thinking about it and asking myself, \"Is that an every night. option?\" “Is it really worth it?” I cannot lie, I would sometimes consider the advice that was given to me, that I should find an FOR TWO YEARS older man to take care of me. at I was being stupid not giving at was the life I led between 2018 and 2020. For the first out sexual favors in exchange for money – which was something that many girls my age were doing! semester my baba mdogo was able to pay my fees, which was all No! I had to keep telling myself. Yes, my situation was dire, and I that mattered. I didn't think about anything other than needed to go to school, but HIV/AIDS was still prevalent, and I perseverance and studying hard. would also be at risk for pregnancy. And besides, I was proud of Sadly, life is unfair. the way I had been raised, prayerful and spiritual, and so in In the second semester, my uncle was unable to pay my tuition. times of deep sadness, what I decided to do, was pray. Being a lady who sells ubuyu, and not a graduate or student, was is depressed him, but he promised to do everything in his difficult to accept. But there was no other alternative. I resolved power to pay the fees. After promising the university that I would not to see my friends or go to places that would tempt me to clear what I owed before the results were released, they allowed compromise my values for money. me to take my finals. e school year had ended, and it was time to start a new academic year; but had I qualified for the NEW CHAPTERS following semester? After hours of pleading for my results and “Mwajuma, I have a friend who is looking for a lady to help him writing a letter that had to go through multiple approvals, I at his shop. I think you should go and work there while I work on received a one-sentence response saying \"you are qualified,\" with your fees. I know it will make you more active,” baba mdogo told no actual details of each course. I burst out crying and thanked me one evening while we were talking. God. Finishing my certificate university level was all that \"I don't mind; what does he do?\" I asked curiously. \"Spare parts,\" he replied. mattered; I didn't care about the specific results. It was rare to find a woman working in spare parts shop. But I ENDS AND BEGINNINGS was determined to earn money earnestly, rather than resort to During this period, my baba mdogo’s other means. I spent a week figuring out the prices and model business worsened. numbers. It wasn't easy, but I gave it my all; I enlisted the My cousin sister came to our assistance of my boss and people from the nearby shops. Despite house one day and suggested my current difficulties, I am content, and I believe that one day I that I start a ubuyu business. will go back to school and complete my studies. I quickly agreed, and she I am not at my journey’s end. I will persevere. I will succeed. loaned me 30,000 shillings as capital. e next day, I Stand up for what you believe in, don't completed the necessary do things just because everyone else is requirements and started. doing them, choose your friends wisely, I could now afford to buy stationery. I was grateful and and, most importantly, PRAY. started thinking about how to expand my ubuyu business. Time flew by, and my 39 final semester was only a month away. I
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 42 10/10/2022 11:38 POWER TEAMS MCHEZO HUU SI MCHEZO! NA POWER TEAMS Siku chache zilizopita, tukiwa tumejikalia zetu nje tunapiga stori, mabishano moto moto yakaibuka juu ya suala la VVU/UKIMWI. Mary: Mna uhakika na mnachokisema?! Asha: Sio kweli. Mtu anaweza kuishi kwa muda mrefu Baraka: Mi ndo nachokijua hicho! mpaka kinga yake ishuke kabisa na magonjwa nyemelezi yamshambulie ndio afya yake itadorora. Mary: Jawabu lipo! Mnaonaje tukienda stoo tukasake nakala za Si Mchezo! Si unajua ya kale ni dhahabu? Zile nakala Anameza tu ARV. zilibeba nondo za maana kuhusu VVU/UKIMWI. Asha: Geoffrey mbona unadandia jibu langu? Nashinda Asha: Sawaaa! Imekaa vizuri sana hiyo, ngoja na Geoffrey aje. mimi hili. Baraka: Achana na Geoffrey, twenzetuni! (Akicheka) daah, watu wako serious na zawadi... (Kaingia ghafla) Nimesikia jina langu, mnanisemavizuri Asha: Niko serious ndiyo. Umesikia Mary, hilo la ARV ndio au vibaya? nyongeza. Dawa hizo zikiingia kwenye mwili zinafubaza makali ya VVU, mtu anameza kila siku maisha yake yote, Team: (Kila mmoja na neno lake) Usiogope… acha hizo…. anaishi fresh tu. Mary: Tunaenda stoo kutafuta nakala za Si Mchezo!. Tena, Mary: Asante ndugu muelimisha rika. (Wote wanacheka) mnaonaje nikiwapa challenge halafu mshindi anapata zawadi Swali lingine; sasa kama ARV zipo si watu wajiachie tu hata ya punguzo la bei kwenye ile kitu nafagilia ya utalii wa ndani. wakiambukizwa VVU haina shida? Maswali tena? Baraka: Mary uko serious unauliza hilo swali? Niliwahi kuongea na mtaalam mmoja akanambia mapambano Mary: Ndiyo! Wa kwanza kujibu sahihi ndio mshindi wa swali. dhidi ya VVU/UKIMWI yanahitaji mbinu nyingi; Matumizi Kuna watu wanadanganywa na uzushi kibao kuhusu ya ARV ni moja, inasaidia kuimarisha afya lakini VVU/UKIMWI nataka tuwekane sawa. Zawadi lazima ifanyiwe hakujapatikana dawa ambayo inaondoa kabisa VVU vyote kazi. Ukiona jibu lako ni NDIYO au HAPANA, jazia maelezo mwilini kama tunavyomeza mseto tukaondoa wadudu kabisa, vigezo na masharti kuzingatiwa ha haaa! wa malaria. Asha: Na gharama za dawa jamani! Sawaaa, mbona tushaelewa? Baraka: Anatuchimbia mkwara kwanza eti vigezo na masharti, Mbona mimi ulinikataza kudandia jibu lako ila hatuogopi, leta maswali. we umedandia la Baraka? Mary: Mtu mwenye VVU hawezi kuishi kwa muda mrefu, anakufa tu haraka. Team: Hilo nalijua… hilo simpo… nani hajui hiyo? 40 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 43 10/10/2022 11:38 Mary: Mwachieni Baraka amalizie. (Akitikisa kichwa) Daaaaaah! Baraka: Asante kwa kunilinda ndugu mwenyekiti. Dawa ni Mary: Jibu zuri Baraka, malizia na hili; je kama nyote gharama (Asha anamwangalia Geoffrey kama vile kumwambia mmeambukizwa? si unaona?), zinamezwa kila siku, na pia tukumbuke kuna Asha: (Anadakia) Hiyo nimewahi kufundishwa, kwamba virusi magonjwa mengine ambayo ukijiachia tu unaweza ukaambukizwa. hivi hivi vipo aina tofauti na vinatofautiana nguvu, ukifanya Sio poa kutumia ARV kama kisingizio cha kufanya tabia mchezo unaambukizwa aina ambayo hukuwa nayo au hatarishi. unamwambukiza mwenzako. Tunarudi pale pale, ngono zembe ya nini? Pia kuna magonjwa mengine ambayo ukiambukizwa Mary: Mtaani wanasema mtu aliyeambukizwa VVU ukimwangalia unaupa mwili kazi ya ziada kupambana na maradhi. tu hivi unamjua, nyie mnasemaje? Team: (Wote wanamshangilia Asha!) Uzushi huo. Namna pekee ya kujua kama mtu ameambukizwa VVU ni kipimo tu mwanangu, haina staili Asha, unataka upate punguzo la kwenda Dubai nini? nyingine. Tena sasa hivi kuna vipimo unajifanyia mwenyewe, vya kwenda hospitali vipo pia, unaamua mwenyewe. Kunawiri na Asha: (Huku akicheza cheza) Sipendi utani kwenye mambo ya msingi. kumeremeta sio dalili ya kutokuwa na VVU. Mary: Changamkeni, nauliza swali la mwisho; eti mtu mwenye Mary: Aisee, hii ligi ishakuwa ngumu kwangu! Ntajutaaa! Lakini VVU lazima anakuwa na UKIMWI au ni kitu kimoja? wacha tuendelee. Asha: VVU na UKIMWI vinautofauti lakini vinahusiana, ndio Ulifikiri tutashindwa? Ngoja nianze mazoezi ya maana mara nyingi utaona vinaandikwa pamoja. VVU ni kupanda Kilimanjaro! virusi, endapo vikishambulia kinga za mwili hadi kufikia hatua ambayo kinga zimepungua sana ndipo mtu anapopata UKIMWI Asha: Mi nataka huko Lushoto nikapaone. ambao ni Upungufu Wa Kinga Mwilini. Kuna watu wana VVU lakini hawana UKIMWI kwasababu walizijua hali zao mapema Baraka: Zawadi badae jamani, tumalize mada kwanza na kutumia ARV pamoja na maelekezo ya daktari, ndio maana ni muhimu kupima afya mara kwa mara na kutumia kinga. Mary: Asante sana Baraka, umenisaidia manake hawa, daah! Sikilizeni hili hapaaa... kwa mfano mtu na mtu wake wamepima Umeniwahi jibu langu, lakini poa mwanangu. wote wako freshi, si wanaweza kwenda kavukavu? Wote wanacheka kwa nguvu. Baraka: Unajua ishu ikoje, si unajua virusi vinaonekana baada Mary: Ungedandia tu kama kawaida yako. ya miezi mitatu, mnaweza mkapima mkakuta freshi kumbe havijaonekana bado. Kinga muhimu wanangu, Tuacheni utani mmenifanya niwaze mbali sana, hivi mi nawachana. mtu mwenye maambukizi ya VVU anaweza kuzaa mtoto na akawa salama na wakaishi tu vizuri? Mary: Yes inawezekana, tena mtoto anakuwa hana maambukizi kabisa cha muhimu ni mama mjamzito kwenda kliniki pale anapofahamu kuwa ana ujauzito anaelekezwa hatua sahihi za kumkinga mtoto na azizingatie. Licha ya hilo inawezekana kabisa kwamba mmoja wa wazazi akawa na maambukizi na mwingine asiwe nayo, endapo mtafuata ushauri wa mtoa ushauri nasaha na kutumia kinga. Baraka: Kwa hiyo Mary na wewe sasa unataka punguzo la kwenda mbugani? Mary: (Huku akicheka) hiyo nimeiona hapa hapa kwenye Si Mchezo! na swali la Geoffrey ni zuri sana. Asha: Zawadi sasa! Mary: Nyote mmejibu vizuri, tukimaliza hii saka saka ya Si Mchezo! kila mmoja anione kwa muda wake. 41OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 44 10/10/2022 11:38 SEMA TENDA Familia yetu tuko watoto wanne, ndugu zangu SHULE hawana maambukizi, ni mimi tu,” anasema mtoto mmoja mwenye ISIWE CHUNGU umri wa takriban miaka 14, “Kila mahali naitwa majina ya ajabu, hata ndugu NA AMABILIS BATAMULA zangu wananifanyia hivyo, wanafunzi wenzangu shuleni pia, ni ngumu kuvumilia. Mwingine anasema alikuwa akipata tabu kumeza dawa bwenini, Tufahamu kwamba… akaamua kujificha wakati kwenye shuka unapofika muda wa kumeza dawa zake za ARV ili wenzake wasimuone, lakini si kila VVU vina madhara kwa vijalunga. Si rahisi kuorodhesha mambo yote wakati ilikuwa rahisi. ambayo huwatia simanzi vijalunga wanaoishi na VVU, lakini ni muhimu kukumbuka kwamba wanapitia wakati wenye changamoto. Inauma.Wapo vijalunga wengi shuleni ambao wanaishi na VVU Wengi wanatafuta majibu ya maswali magumu, tuwe wakarimu. na wakiwa tayari wameanza kutumia dawa za kufubaza makali ya virusi hivyo. Wapo wanafunzi wengi na hata walimu ambao wana * VVU vinaweza kuathiri ukuaji wa vijalunga hasa wale maswali mengi kuhusu namna nzuri ya kuwapatia huduma na msaada stahiki watoto wanaoishi na VVU. walioambukizwa utotoni. Vijalunga hawa wanaweza kuchelewa katika hatua za ukuaji na hivyo kujiona wako tofauti na wenzao. Tuanzie hapa Jambo hili linaweza kuwapelekea kutojiamini. Tuwakumbushe kwamba wanaweza. Kwa mujibu wa sheria ya UKIMWI ya Tanzania, unyanyapaa na ubaguzi kwa mtu anayeishi na VVU ni kosa. Na si unajua kosa * Wakati mwingine wanaweza kuwa na mahitaji maalum katika huwa lina adhabu? Ikithibitika umetenda kosa hilo milioni mbili itakutoka, au kifungo cha mwaka mmoja, au vyote kwa pamoja. ujifunzaji. Kusaidiana ndio mpango mzima. Kuwapa nafasi ya Tuendelee. Shule ni miongoni mwa taasisi zinazotajwa na sheria ziada ni msaada pia. hii zikielekezwa kushughulikia unyanyapaa na ubaguzi. * Inaweza pia kutokea hali ya kuumizwa kihisia kutokana na hali ya maisha, kama vile kupoteza wazazi. Jambo hili huathiri afya yao ya akili. Tuwape faraja, sio masimango. Unajua, shuleni ni mahali ambapo watoto hukua huku * Anaweza akakosa masomo kama atakuwa anaumwa mara kwa wakifundishwa masomo ya taaluma, lakini pia wakijifunza namna ya kuishi na watu wengine; stadi za maisha kama ushirikeli mara. Tuwakumbushe kutumia dawa kwa usahihi na bila kukosa. pamoja na kujenga urafiki ambao unaweza ukadumu maisha yao Tuwape nafasi ya kujifunza kile walichokikosa. Mambo ya kubania yote. Katika Fema tunasisitiza kusema na kutenda, kuwajibika notes yamepitwa na wakati. pale tunapopaswa kufanya jambo, sio tu kuishia maneno. Hebu tuangalie mambo kadhaa ambayo yanaweza kufanya uwepo wetu * Kama wenzake watamtenga itasababisha naye ajitenge zaidi na shuleni kuwa msaada kwa wengine, bila kujali kama tumeambukizwa VVU au la, bila kujali kama ni wanafunzi, walimu au wanajamii hivyo kumwongezea msongo wa mawazo. Sio poa, na haina faida wengine ndani na nje ya shule. yoyote. 42 * Vijalunga wanaoishi na VVU wanakumbwa sana na madhila ya msukumo rika, hasa ule unaombatana na unyanyapaa. Tukumbuke msukumo rika wenye tija ni ule tu ambao unamsogeza mtu pazuri, sio ule unaomwondolea amani au kumfanya mnyonge.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 45 10/10/2022 11:39 shUutlaenfainaykaiknwinaimrbaifiakainyaakVoVU? ote Mwongozo wa watoa huduma za afya juu ya huduma za afya kwa vijalunga wanaoishi Kwanza nitahakikisha anazingatia to. na VVU unaelekeza kwamba ni muhimu kwa sekta hiyo kushirikiana na kushirikisha ushauri aliopewa na daktari na kumfatilia shule kuhakikisha vijalunga hawakosi huduma muhimu wanazozihitaji. Kwamba: kwa ukaribu kwamba anatekeleza ushauri huo. wa ao. * Ofisi ya Elimu Wilaya ifahamishwe juu ya huduma ambazo vijalunga wanaweza Furahini Agustino Kinyunyu – e (Kidegembye Secondary School) a kuzipata shuleni, na hii inaweza kuambatana na uelimishaji na uhamasishaji juu ya kuishi na VVU ukiwa kijalunga. Mimi nitamshauri aweze kujikubali yeye mwenyewe. ali ya Pia aendeleze ndoto zake na asikate tamaa. ao ya * Walimu wapewe elimu kuhusu VVU ndani ya shule na jamii zinazowazunguka. Ajitahidi kufuata maelekezo ya daktari na kutumia wa * Shule zisaidiwe kutambua mwalimu mmoja ambaye atashughulikia masuala ya dawa na hapo ntakuwa nimemsaidia rafiki yangu. osa. bania vijalunga wanaoishi na VVU akiwa bega kwa bega na watoa huduma za afya. Reyman Ezekiel Mkonju – Kidato cha tatu na (Kidegembye Secondary School) aida * Shule zipatiwe orodha ya huduma zinazopatikana kwa ajili ya vijalunga pamoja ya Nitamshauri awe anakula mlo kamili, kuzingatia uke na makundi ya kusaidiana. dawa zake na kuwa karibu nae kumfariji na e. kumtia moyo ili asikate tamaa na kujiona mpweke. * Kuwezesha utokomezaji wa unyanyapaa na ubaguzi ndani ya shule. * Kutengeneza mfumo wa rufaa kati ya shule na mahali zinapopatikana huduma Jonisia Damas Ongole – (Kidegembye Secondary School) za afya. 43OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE * Utengenezwe mfumo unaowezesha vijalunga walioweka wazi hali zao kutembelewa au kwenda kliniki. Hii ina maana kwamba, kila shule inapaswa kuwa na utaratibu wa ushirikiano na vituo vya afya, zahanati au hospitali ambako vijalunga wanaweza kupata huduma za afya wanazozihitaji, kuanzia dawa, ushauri na hata upimaji. Shuleni kuwe salama, penye upendo na msaada. Shule isiwe chungu. Hili nalo ni muhimu Marekebisho ya sheria ya UKIMWI namba 14 ya mwaka 2019 yanaruhusu kijana mwenye umri wa miaka 15 au zaidi kupima VVU bila kulazimika kupata ridhaa ya wazazi. Hapo awali ruhusa hiyo ilikuwa ikianzia miaka 18. Kumbuka: Katika Club yenu, fanyeni mjadala; ni mambo gani yanawazuia kuushinda unyanyapaa? Mtatumia mbinu Ikiwa kila mmoja wetu atatokomeza gani kuyakabili? Mkipata majibu wasilisheni mlichokubaliana unyanyapaa, wenzetu wengi zaidi kwa wanafunzi wenzenu na walimu shuleni. Ujumbe ufike watakuwa huru kusema hali zao ili wapate huduma stahiki, watameza hadi nyumbani. dawa kwa usahihi bila kulazimika kujificha.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 46 10/10/2022 11:39 SEMA TENDA BEING IN SCHOOL SHOULDN’T HURT BY AMABILIS BATAMULA Let’s start here \"We are four siblings in my family, and I am the only one who is HIV Stigmatization and discrimination against a person living with positive,\" says a 14 year old. \" ey call me names everywhere, at HIV is a punishable offense under the Tanzania HIV/AIDS school and at home too, including my siblings; it's difficult to take.\" Prevention and Control Act. If it is proven that you discriminated Another adolescent says it's difficult to take his ARV tablets in against such people, you will face a fine of 2 million shillings, a public, especially in dorms, so he hides under his bed sheets, so his year in prison, or both. is law specifically recognizes schools as colleagues don't notice. It is, however, difficult to maintain the one of the institutions that must deal with stigma and discrimination. illusion all the time. It's painful. ere are many young people and adolescents living School should be a safe place for students to grow while also with HIV and have already begun taking ARV medication to learning the skills needed to interact with others. It’s where they combat the virus' effects. Many students, as well as teachers, have also have the opportunity to form long-lasting friendships questions about how to best assist and support those living with through cooperation and understanding. HIV. Here at Fema, we encourage our members to \"say and do,\" to 44 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE hold themselves accountable whenever they are asked to do something. We advocate for fewer words and more action. Let's look at few things that can make our presence at school a help to others, regardless of whether we are infected with HIV or not, regardless of whether we are students, teachers or other community members, inside and outside the school.
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 47 10/10/2022 11:39 We know that… * Schools should be given a list of services available for adolescents, as well as a list of support groups and programs. Adolescents are uniquely vulnerable to HIV. It is difficult to list all * Schools should make every effort to eliminate stigma and the ways in which HIV affects the lives of those who are infected. It is important to remember that their experience has been extremely discrimination in the school. difficult. Many of them are still looking for answers to difficult questions; it is important that we treat them with compassion and * A referral program between schools and health-care facilities kindness. should be established. * HIV can impact the physical growth of an adolescent, particularly * A system that allows HIV-positive adolescents to freely visit those who were infected as children. ese adolescents may lag behind in certain developmental areas and come to perceive clinics should be established. themselves as different. is may cause self-doubt and lack of confidence. We must remind them that they are capable and is means that every school should have programs in place that worthy. enable collaboration with health centres, clinics, and hospitals where adolescents can receive necessary health care. ese include * ey may sometimes require special needs when it comes to medicine, counselling, and even testing. Schools should be loving and supportive environments. Schools should be pain-free zones. learning. It is best to lend a helping hand. Giving them additional opportunities is another way to assist them. * ey may also be vulnerable to emotional trauma as a result of their circumstances, such as the death of parents. is has an impact on their mental health. Let us console them rather than mock them. * ey may also miss school days and classes as a result of being sick frequently. Let us regularly remind them to take their medication correctly. Let us help them catch up on what they might have missed. e days of keeping notes to yourself are long gone. * If their fellow students segregate them, it may push them to segregate themselves even further, causing stress. It's not cool, and it's pointless. This too is important th * Adolescents living with HIV are sensitive to peer pressure, DS Amendments to the HIV/AIDS Act, Number 14, of 2019, allow a ed particularly discriminatory peer pressure. Remember that the young person aged 15 or older to take an HIV test without parental best kind of peer pressure is one that encourages you to do consent. Previously, anyone under the age of 18 had to obtain the a good rather than disrupting others' peace or putting others as down. permission of their parents or guardians. on. e national guideline for health care providers as regards adolescents so HIV services emphasize the importance of collaborations between ey that sector and schools to ensure that the adolescents affected do ps not miss out on helpful services. at:- Start a conversation in your Club; what obstacles are stopping *to e District Education Office should be kept abreast on the you from achieving a stigma free community? What can you do to various needs of adolescents living with HIV in their schools. overcome them? When you have these answers, please share them with do Trainings and advocacy on how to live with HIV as an adolescent your colleagues and teachers at your respective schools. can be part of this. Bring this message home as well. a * HIV education for teachers in schools and throughout the Remember: or community should be provided. If each one of us will put a stop on discrimination and stigma, *er Schools should be assisted in identifying at least one teacher many more of our colleagues will feel comfortable disclosing their HIV status and thus receiving the care they so greatly require. ey who, in collaboration with health care providers, will be will take their medication correctly without hiding. responsible for the well-being of students living with HIV. 45OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 48 10/10/2022 11:39 CARTOON STORY 46 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 49 10/10/2022 11:39 CARTOON STORY 47OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Fema 63 HIV (Without Crop Mark).pdf 50 10/10/2022 11:39 CARTOON STORY 48 OCTOBER - DECEMBER: FEMA MAGAZINE
Search